MwanaCBE JF-Expert Member Sep 23, 2009 1,771 804 Jan 23, 2012 #1 Hawa jamaa walitutangazia nafasi kibao tangu last year mwishoni, washaita watu kwa intavyuu. Mwenye taarifa kinachoendelea tafadhari atuwekee hapa.
Hawa jamaa walitutangazia nafasi kibao tangu last year mwishoni, washaita watu kwa intavyuu. Mwenye taarifa kinachoendelea tafadhari atuwekee hapa.
erique JF-Expert Member Apr 23, 2010 583 571 Jan 23, 2012 #2 Watu walishaitwa na wameshafanya Interview wiki iliopita pale DIT.Wiki hii watawaita wale waliopata maksi za juu
Watu walishaitwa na wameshafanya Interview wiki iliopita pale DIT.Wiki hii watawaita wale waliopata maksi za juu
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jan 24, 2012 #4 mwana mnyonge said: duu ni kweli jamani au Click to expand... hahahahah,uliomba nin?
MwanaCBE JF-Expert Member Sep 23, 2009 1,771 804 Jan 24, 2012 Thread starter #5 Asante kwa taarifa. Sasa naifuta HESLB rasmi kwenye list yangu.
M Mwana Mnyonge JF-Expert Member Mar 3, 2011 518 448 Jan 24, 2012 #6 Bajabiri said: hahahahah,uliomba nin? Click to expand... niliomba loan repayment
Zinedine JF-Expert Member Apr 9, 2011 1,187 694 Jan 25, 2012 #8 MwanaCBE said: Asante kwa taarifa. Sasa naifuta HESLB rasmi kwenye list yangu. Click to expand... Siku nyingine Ukituma maombi ya kazi, baci uanzishe urafiki na muuza magazeti!
MwanaCBE said: Asante kwa taarifa. Sasa naifuta HESLB rasmi kwenye list yangu. Click to expand... Siku nyingine Ukituma maombi ya kazi, baci uanzishe urafiki na muuza magazeti!