Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,572
Habari za majukumu wakuu,
Naomba kuuliza ule mchakato uliokuwa umeanzishwa mwaka 2021 wa uanzishwaji wa halmashauri mpya ya Uyole, uliishia kwenye hatua ipi?
Kwa mwenye details zozote hapa jukwaani anijuze tafadhari.
Naomba kuuliza ule mchakato uliokuwa umeanzishwa mwaka 2021 wa uanzishwaji wa halmashauri mpya ya Uyole, uliishia kwenye hatua ipi?
Kwa mwenye details zozote hapa jukwaani anijuze tafadhari.