KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 538
wameanza kukata 8% tofauti na makubalianop ya awali ya kurejesha kwa kipindi cha miaka kumi. Mi kwa mfano baada ya kuanza kazi walianza kunikata sh. 17,000 kwa mwezi ili baada ya miaka kumi niwe nimemaliza deni lao lote. Nikiwa nimelipia deni kwa miaka mitatu ghafla kwenye mshahara wangu wameanza kukata sh. 250,000 kwa mwezi jamani mabadiliko haya yameniathiri sana kiuchumi maana sikujiandaa kwa hilo.
kwa wana sheria nisaidieni. naweza kuweka injunction ya mahakama kuzuia makato haya mpaka tutakaposeattle mkataba wangu na board?
kwa wana sheria nisaidieni. naweza kuweka injunction ya mahakama kuzuia makato haya mpaka tutakaposeattle mkataba wangu na board?