Vijana ingawa hii ni serikali ya Magamba,bado naamini kuwa watajitahidi kutoa mikopo kwa watu wote ambao kwa kweli ni wahitaji wa mikopo, msijali si unajua sisi ndio wapiga kura mwaka 2015 hawawezi kufanya upuuzi wa kutubania mikopo sie wakina kayumba hata kama tumechaguliwa non priority coarses
Mjomba mkopo ni kwa wale waloandikiwa PRIORTY 2,kwa mujibu wa HESLB.