hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 858
- 2,046
Ni vilio tu huku, yaani waliopata angalau asimilia 2% ya Ada yao ni wale yatima au walemavu, ila wengine ni bumu tu.
Hii imekatisha sana tamaa ya wanafunzi kuendelea na elimu ya juu kwani wengi wanaopitia advance wanakuwa na hali ngumu za kimaisha.
Sifa tu kwamba wamewapa mkopo diploma afu kumbe hakuna kuwalipia degree Ada, huku wakijidai wameongezea boom huo ni unafiki.
HESLB mjitathini.
Hii imekatisha sana tamaa ya wanafunzi kuendelea na elimu ya juu kwani wengi wanaopitia advance wanakuwa na hali ngumu za kimaisha.
Sifa tu kwamba wamewapa mkopo diploma afu kumbe hakuna kuwalipia degree Ada, huku wakijidai wameongezea boom huo ni unafiki.
HESLB mjitathini.