BODI ya IT & COMPUTER SCIENCE PRO.

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,343
Nina jazba sana kutokana na dharau zinazooneshwa wazi wazi katika fani ya computer science na IT nafikiri umefika mda sasa na hizi fani kue na standards zinazoelekeza viwango na utaalam na kusimamia kazi zote za IT/Computer science katika organizations!!!!!!! Ndio maana mnashuhudia website zenye interface MBOVU,hakuna standard maalumu inayosimamia hivi,pia mishahara ya watu wa IT mi BOVU,na wengi wanaishia kufanya kazi za kuinstall EFD huku wachache wakifaidika!!!!!!!!!!! na mengine mengi mabovu mnayaona,mnayasikia ! kama bodi hii ipo naomba nijulishwe,kama haipo hili jopo la wataalamu linasubiri nini the world changes very fast.:pound: Nawasilisha hoja.
 
Mkuu Bodi hiyo haipo!! Ila serikali nasikia ilikuwa na mpango wa kuanzisha kijiji cha wanasayansi!!!.
 
Nina jazba sana kutokana na dharau zinazooneshwa wazi wazi katika fani ya computer science na IT nafikiri umefika mda sasa na hizi fani kue na standards zinazoelekeza viwango na utaalam na kusimamia kazi zote za IT/Computer science katika organizations!!!!!!! Ndio maana mnashuhudia website zenye interface MBOVU,hakuna standard maalumu inayosimamia hivi,pia mishahara ya watu wa IT mi BOVU,na wengi wanaishia kufanya kazi za kuinstall EFD huku wachache wakifaidika!!!!!!!!!!! na mengine mengi mabovu mnayaona,mnayasikia ! kama bodi hii ipo naomba nijulishwe,kama haipo hili jopo la wataalamu linasubiri nini the world changes very fast.:pound: Nawasilisha hoja.

Mkuu kusimamia kazi za IT kwenye oganisation mashirika sio lazima bodi. Ndani ya kampuni au shirika ni wajibu wao watu wa IT kutoa tendar zenye specifatcation ya hivyo viwango. Kama TBC wanataka watengenewe Tovtu inabidi waspecify ifuate standard gani eg

  • HTML5. au HTML 4.1
  • DTD transitionl
  • Kutenganish CSS na HTML
  • Dynamic au Static
Maabo kama haya hayaitaji organisation ni kampuni tu kuwa na wataalamu wa kuandika mahitaji sahii. Kama kampuni au shirika halina mtaalam bora likodi consultant ambaye atawaadikia mahitaji yao amabyo ndiyo watayotumia kutafuta developer.


So kwangu mimi ingawa bodi unayosema ni ya maana bodi hiyo haiwezi kuleta mabadiliko.kama wataalam wa IT hawatabadilika jinsi wanavyo tafuta au wao wenyewe waavyfanya kazi au wanavyoadika tender zao za mambo ya IT.
 
Ishu ni kuwa makampuni mengi ya IT Tanzania ni ya wababahishaji! Awataki employ watu wawalipe vizuri matokea yake wanachukua vijana wa F4 wanawafanya mafundi bila kuwa na ujuzi wa kazi,mfano hizo EFD za TRA mafundi wengi awana ata diploma za IT.hii ipo ata ktk makampuni karibuni yote ya Wahindi apa Tanzania
 
Ishu ni kuwa makampuni mengi ya IT Tanzania ni ya wababahishaji! Awataki employ watu wawalipe vizuri matokea yake wanachukua vijana wa F4 wanawafanya mafundi bila kuwa na ujuzi wa kazi,mfano hizo EFD za TRA mafundi wengi awana ata diploma za IT.hii ipo ata ktk makampuni karibuni yote ya Wahindi apa Tanzania

But unajua kwenye hii filed ya IT kama fundi wa gereji. Pactical experince ni ya muhimu zaidi kuliko cheti. Jap kunatakiwa kuwa na balansi lakini bnasfi na kacheti kangu nimewaona wahindi nawazidi elimu lakini wako njema sana kwenye haya mambo ya IT.

Ni kama sisi watznaia wengi tunasomea kuwa managers wa IT department wenzetu Akimaliza six anaweza kuchukau cheti cha CISCO the akachukua cheti na MSCE then akaaanzakynaya kazi. Hapo nakwambai mtu aliyemaliza chuo mwenye degree ataona nyota tuuuuuuuuuu.

Sisiemi watu wasisomee degree lakini kunahitajika balansi kati ya Educatio qualification na Training qualification . Mtu ana degree ya IT anakwenda kuchukua master wakati hana hata certification yeyote ya network au Database au OS. Wahidni wao mbali kwenye IT sababu ya Training na sio education za three years vyuoni.
 
@mtazamaji mkuu 5 stars!-sisi waTZ wengi tunalalamika eti hatuajiriwi na wakati mtu ameshabomoa mabanda hadi master na kuajiria watu wa mitaa-mimi naunga mkono wanaoajiri wana mitaa waliobobea na katika vitenda vya it na kuwaacha wenye magamba na mathiori vichwani.bodi ya kusimamia IT ni muhimu na italeta mabadiliko-kwani kwa wenzetu ilete na kwetu ishindwe.
 
Nina jazba sana kutokana na dharau zinazooneshwa wazi wazi katika fani ya computer science na IT nafikiri umefika mda sasa na hizi fani kue na standards zinazoelekeza viwango na utaalam na kusimamia kazi zote za IT/Computer science katika organizations!!!!!!! Ndio maana mnashuhudia website zenye interface MBOVU,hakuna standard maalumu inayosimamia hivi,pia mishahara ya watu wa IT mi BOVU,na wengi wanaishia kufanya kazi za kuinstall EFD huku wachache wakifaidika!!!!!!!!!!! na mengine mengi mabovu mnayaona,mnayasikia ! kama bodi hii ipo naomba nijulishwe,kama haipo hili jopo la wataalamu linasubiri nini the world changes very fast.:pound: Nawasilisha hoja.

hii kitu ipo nafikiri ipo chini ya tamisemi kuna mradi wao wanaita "serikali mtandao" na walikuwa na vipindi itv 2007 na pia kuna wakuu kama mchambuzi wa mifumo ya computer tz (systems analyst) ni muhuni flani hivi nilimuona siku hiyo akiongea kwenye series ya vipindi vyao itv.. sijui hii projrct iliishia wapi au type za ict policy 2002, mkukuta
 
nadhani inabidi ufuatilie, ni tatizo la dunia nzima. IT industry haina standards ambazo zinafutwa, au ethics, ndio mana still kuna debate kama whether IT ni profession au sio?
 
Naomba tunapo andika tutoe maelezo ya kuto zaidi juu ya tunacho kizunumza ili tuweze kuwa na mjadaka mpana zaidi na sio kuonge jujuu.
 
Ishu ni kuwa makampuni mengi ya IT Tanzania ni ya wababahishaji! Awataki employ watu wawalipe vizuri matokea yake wanachukua vijana wa F4 wanawafanya mafundi bila kuwa na ujuzi wa kazi,mfano hizo EFD za TRA mafundi wengi awana ata diploma za IT.hii ipo ata ktk makampuni karibuni yote ya Wahindi apa Tanzania

Hili nimethibitisha mwenyewe kwa macho yangu..na cyo story.ur ryt kabisa.
 
nadhani inabidi ufuatilie, ni tatizo la dunia nzima. IT industry haina standards ambazo zinafutwa, au ethics, ndio mana still kuna debate kama whether IT ni profession au sio?
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=2046874

Redsilverdog are you serious kuwa hakuna standard.? Mi nadhni Standard zipo sema zinaaa zinabadilka. its just not like Law or accounts or Medicine.

Mfano Kuna standars nyingi tu kama

  • Web- kuna standard na specificatin za Acesscibility , usability, Security, HTML CSS etc refer to WCAG Overview

  • Network- Zipo standard za OSI , Protocol, Security, Error corection and dtection , etc


So standars zipo sema kwenye taaasisi nyingi kama bongo hakuna specifiic policy watumie Standard gani?

Challegeya IT ni kuwa standard eg ya web development iliyotumika mwaka 1990 inaweza kuwa haikubaliki sasa. Lakini kwenye accounts au medicine au law standads za mwaka hata 1970 bado ziko applicable hadi leo.

@mtazamaji mkuu 5 stars!-sisi waTZ wengi tunalalamika eti hatuajiriwi na wakati mtu ameshabomoa mabanda hadi master na kuajiria watu wa mitaa-mimi naunga mkono wanaoajiri wana mitaa waliobobea na katika vitenda vya it na kuwaacha wenye magamba na mathiori vichwani.bodi ya kusimamia IT ni muhimu na italeta mabadiliko-kwani kwa wenzetu ilete na kwetu ishindwe.

Yes nimeoa kuna watu wana degree za IT wako kazini zaidi ya mwaka na bado hajui crimping toool. Yeye anavaa tai anajiita network administrator kazi yake ni create na kudisbale user. Likitokea Tatizo dogo hata AP imeungua adaptor anapiga simu kwa wahindi kuwa hapati internet. hajui hata configuation ya AP. Hajui kutrobleshoot network

Sasa unakuta graduate network administrator wa serikalini anapiga simu anakuwa supported na mwenye diploma kwa wahindi. So funny lakini ni ukweli. Nimeshaona hii . Inabdi tukaze buti wazeee
 
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=2046874

Redsilverdog are you serious kuwa hakuna standard.? Mi nadhni Standard zipo sema zinaaa zinabadilka. its just not like Law or accounts or Medicine.

Mfano Kuna standars nyingi tu kama


  • Web- kuna standard na specificatin za Acesscibility , usability, Security, HTML CSS etc refer to WCAG Overview



  • Network- Zipo standard za OSI , Protocol, Security, Error corection and dtection , etc





So standars zipo sema kwenye taaasisi nyingi kama bongo hakuna specifiic policy watumie Standard gani?

Challegeya IT ni kuwa standard eg ya web development iliyotumika mwaka 1990 inaweza kuwa haikubaliki sasa. Lakini kwenye accounts au medicine au law standads za mwaka hata 1970 bado ziko applicable hadi leo.

Lakini nani yupo kuensure zinafuatwa. jaribu kuvalidate website kubwa kubwa ku2mia HTML validator halafu angalia ngapi zitapasi bila kuwa na errors. Standards kila mtu anazake haijulikani exactly zipi ifuatwe, there is no agreement onw which standard to follow. Wangapi wanafuata ethics za IT? Counter terrorism? iphone advertising scheme?
 
Lakini nani yupo kuensure zinafuatwa. jaribu kuvalidate website kubwa kubwa ku2mia HTML validator halafu angalia ngapi zitapasi bila kuwa na errors. Standards kila mtu anazake haijulikani exactly zipi ifuatwe, there is no agreement onw which standard to follow. Wangapi wanafuata ethics za IT? Counter terrorism? iphone advertising scheme?

Redsilver kuwa na error ni just feedbakc but lazima BBC au CNN wakati wandevelop website wanafuataa standard fulani kama benchmark. Dereva kupata ajali ya gari haina maana hana leseni.
 
Hakutakiwi kuwa na kitu kama hicho, kila organization inabidi wafanye quality control na kupanga requirements yao wenyewe hatutaki bodi itupangie kipi ni sahihi na kipi sio sahihi. Kama serikali inataka kuweka standards kwa ajili ya serikali hiyo sawa.

Bodi ya aina hiyo kama ina nguvu za kisheria itakuwa ni kikwazo kikubwa katika mabadiliko ya technolojia. Pia Certs zina matatizo yake, watu wanakremu kwa ajili ya cert a couple of weeks anapata cert kichwani hakuna kitu.
 
Hakutakiwi kuwa na kitu kama hicho, kila organization inabidi wafanye quality control na kupanga requirements yao wenyewe hatutaki bodi itupangie kipi ni sahihi na kipi sio sahihi. Kama serikali inataka kuweka standards kwa ajili ya serikali hiyo sawa.

Yes hapo tuko pamoja. Sasa kampuni inataka kuengenezewa website haiandiki requiment vizuri. But kwenye hizo wizara kuna watu wamegradute. Unaweza kuandika Tender au requiremnt za tovuti unayotaka developer atengeneze. but ukiandika document bila kumpa standard yeyte mtaalam ndo atamua nini atumie nini asitumie wich is wrong.

And this always happen kwa sababu Kama bongo watu wengi na developer wengi wana develop system eg TOVUTI bila kufuata system development process. No requirement definition , No requirement specification etc
 
Hebu tuwekane sawa hapa,ninapozungumzia bodi namaanisha kama ile ya wahasibu-NBAA,ya constructions ambapo kampuni haifanyi kazi mpaka iwe registered kule....yaani kue na taratibu fulani zitakazo to mwongozo wa utendaji sio kama sasa hivi IT/Computer science hata kibanda cha mtaani mtu akishajua kuingiza nyimbo kwenye simu anajiita fundi computer,mtu kasoma vyuo vya nyuki nae anataka aitwe IT pro,au Comp Pro.:pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound::pound:
 
Back
Top Bottom