Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa bado wapo Wizarani

David-Jairo.jpg


PICHA+NA+3.jpg


PICHA+NA+4.jpg



PICHA+NA+6.jpg



PICHA+NA+1.jpg

Baabababaaa ,baba huyoooo baba baba huyooo babaaa!
 
wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na mapacha wawili wa wizara ya afya (blandina nyoni na dr deo mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na mkuu wa idara mmoja ambae yupo wizara ya afya, zinasema katibu mkuu na mganga mkuu wa serikali waliosimamishwa kazi na waziri mkuu, mizengo pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo ofisini.

Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje pinda ameweza kuwadanganya madaktari kuwa mahasimu wao wakuu bi blandina nyoni na dr deo mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?

Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na waziri mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je waziri mkuu mizengo pinda, anamdanganya nani kwamba blandana nyoni na deo mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia v8 za serikali?

mkuu hata mm nimepata hizo habari hata hivyo inaonekana wameagizwa kukabidhi ofisi kwa watu walioteuliwa kukaimu nafasi zao na kuondoka mara moja

mkuu unajua hawawezi kuchakachua habari/Taarifa kwasababu watu wengi wenye taarifa zao ni maadui zao. Je hivi mgoni/mzinzi anapokamatwa na mke wa mtu unadhani hukumbuka hata kuvaa nguo anapoambiwa anatakiwa kupotea asionekane tena?

Kingine kitakachowashinda kuchakachua ni kuwa malipo yalishafanyika na nyaraka zipo na vitu vingine vimehojiwa na mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali na havikutolewa majibu


mkuu kwa taarifa za ndani zilizonifikia wanadai kwa haya hawatoki na watumishi wamejiandaa kumwaga mboga maana wao tayari wamemwaga ugali ili asiwepo atakayekula

endlea kutujuza mkuu
 
That calls for an emergency meeting among health care professionals.... Lets see
 
Kama bado wako kazini basi hiyo ni kinyume na makubaliano na madaktari. Nashauri madaktari waendeleze mgomo wao waliositisha.

wewe hushangai pinda alisema suala na waziri na naibu wake amemuachia mkula mbona hakuna chochote kimefanywa hadi leo?? Pinda bendera fata upepo hana jipya,
 
Wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na Mapacha wawili wa Wizara ya Afya (Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na Mkuu wa Idara mmoja ambae yupo Wizara ya Afya, zinasema Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali waliosimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo Ofisini.

Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu Manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje Pinda ameweza kuwadanganya Madaktari kuwa mahasimu wao wakuu Bi Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa Alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?

Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, Je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je Waziri Mkuu Mizengo Pinda, anamdanganya nani kwamba Blandana Nyoni na Deo Mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia V8 za serikali?
[/QUOTE

Sasa ww ulitaka waende wapi? kwani unawafuatafuata walikufanya nn Mkuu? maana huu ni uzi wa pili sasa umefungua. Kwani ata wakienda Wizarani ww kina kuuma nn? kama nilivyokwambia katika ule uzi wako wa tuhuma za majungu kuwa wameshakugundua na dawa yako inachemka kwa ajili ya majungu ambayo umeyaanzisha, wametumwa waendelee na kazi ili kuja kuwatafuta wale wote waliosambaza majungu kutokea Wizarani (Inner circle), safari hii hamtaamishwa kupelekwa Milembe, nadhani kinachofuata unakijua. Sijui ulipoanza kazi pale Wizarani walikufanyia VETTING na kama ni ndio, unajua kitakachokupata. "Majungu si Mtaji"

Wewe Karata usitishe watu hapa, inaonekana wewe ni mpambe nuksi wa Blandina na bado huamini kama ametoka, shauri yako. Sisi tunaendelea kumwaga vitu tu na wala hatuogopi vitisho vyako vya sijui vetting
 
Funika kombe mwanaharamu apite...watu wengine hawaogopi kusema uongo??
 
Kweli akili za mbayuwayu changanya na za kwako...I.e Pinda kawatoa madaktari barabarani?

Wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na Mapacha wawili wa Wizara ya Afya (Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na Mkuu wa Idara mmoja ambae yupo Wizara ya Afya, zinasema Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali waliosimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo Ofisini.

Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu Manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje Pinda ameweza kuwadanganya Madaktari kuwa mahasimu wao wakuu Bi Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa Alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?

Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, Je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je Waziri Mkuu Mizengo Pinda, anamdanganya nani kwamba Blandana Nyoni na Deo Mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia V8 za serikali?
 
Yaani anayemwamini Punda mimi namshangaa! Hilo baba hata halioni aibu kabisaaa! Juzi hapa limelia halina uwezo wa kumfukuza Jairo, leo eti linapata uwezo wa kuwafukuza hao wawili?! Nya...f!
 
Hii ni nchi ya wahuni na street boys, mda wao utapata tu


QUOTE=TUMBIRI;3322892]Wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na Mapacha wawili wa Wizara ya Afya (Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na Mkuu wa Idara mmoja ambae yupo Wizara ya Afya, zinasema Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali waliosimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo Ofisini.

Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu Manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje Pinda ameweza kuwadanganya Madaktari kuwa mahasimu wao wakuu Bi Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa Alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?

Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, Je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je Waziri Mkuu Mizengo Pinda, anamdanganya nani kwamba Blandana Nyoni na Deo Mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia V8 za serikali?
[/QUOTE]
 
Wewe Karata usitishe watu hapa, inaonekana wewe ni mpambe nuksi wa Blandina na bado huamini kama ametoka, shauri yako. Sisi tunaendelea kumwaga vitu tu na wala hatuogopi vitisho vyako vya sijui vetting
Achana nae huyo! Haijui JF vizuri! Uchunguzi dhidi ya hawa watumishi umeshaanza wakuu msihofu kabisa! Huwa hatumwamini J.K lakini this tym anafanya kweli! Hachomoki mtu!
 
Madaktari tunakutana tarehe 3/3/2012 kutathmini utekelezwaji wa ahadi za serikali, hii inajumuisha hatua zilizochukuliwa dhidi ya watendaji hao wakuu wa serikali...this time sitashauri tugome, kwani wanateseka waTanzania wasio na hatia ambao ni mama/baba zetu, bibi/babu zetu, dada/kaka zetu, wanetu, rafiki na majirani zetu...na hawa jamaa (serikali) hawajali kabisaaaa! This time nitashauri tuandamane na kuomba support ya wananchi na wanaharakati twende magogoni! Kama kutuua watatuua sisi kabla ya kufika hapo magogoni...
 
Madaktari tunakutana tarehe 3/3/2012 kutathmini utekelezwaji wa ahadi za serikali, hii inajumuisha hatua zilizochukuliwa dhidi ya watendaji hao wakuu wa serikali...this time sitashauri tugome, kwani wanateseka waTanzania wasio na hatia ambao ni mama/baba zetu, bibi/babu zetu, dada/kaka zetu, wanetu, rafiki na majirani zetu...na hawa jamaa (serikali) hawajali kabisaaaa! This time nitashauri tuandamane na kuomba support ya wananchi na wanaharakati twende magogoni! Kama kutuua watatuua sisi kabla ya kufika hapo magogoni...
Docta usijali endeleeni kutupa tiba bana! Upande wa malipo yenu sijui lakini mpaka sasa taarifa nilizonazo ni kuwa uchunguzi umeshaanza na unatikisa haswa! Nafikiri this tym J.K anafirigisa mtu!!
 
Bado tuna safari ndefu sana kama taifa huru kwenye nyanja ya uongozi bora na uwajibikaji. Engekuwa Kenya watu kama hawa kwa sasa ni historia. Jaman hata kama ni kukabidhi, ndio siku zote hizo! Si kuna makaimu?
 
Wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na Mapacha wawili wa Wizara ya Afya (Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na Mkuu wa Idara mmoja ambae yupo Wizara ya Afya, zinasema Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali waliosimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo Ofisini.

Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu Manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje Pinda ameweza kuwadanganya Madaktari kuwa mahasimu wao wakuu Bi Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa Alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?

Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, Je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je Waziri Mkuu Mizengo Pinda, anamdanganya nani kwamba Blandana Nyoni na Deo Mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia V8 za serikali?
[/QUOTE

Sasa ww ulitaka waende wapi? kwani unawafuatafuata walikufanya nn Mkuu? maana huu ni uzi wa pili sasa umefungua. Kwani ata wakienda Wizarani ww kina kuuma nn? kama nilivyokwambia katika ule uzi wako wa tuhuma za majungu kuwa wameshakugundua na dawa yako inachemka kwa ajili ya majungu ambayo umeyaanzisha, wametumwa waendelee na kazi ili kuja kuwatafuta wale wote waliosambaza majungu kutokea Wizarani (Inner circle), safari hii hamtaamishwa kupelekwa Milembe, nadhani kinachofuata unakijua. Sijui ulipoanza kazi pale Wizarani walikufanyia VETTING na kama ni ndio, unajua kitakachokupata. "Majungu si Mtaji"



ACHA KUWATISHA WAZALENDO,ISSUE HAPO SIYO MAJUNGU,MIMI NILIDHANI UTATUAMBIA KWAMBA MAELEZO YAKE NI YA UONGO KUMBE UNALAZIMISHA YAONEKANE NI MAJUNGU TU!!
WAPO WATU WAADILIFU KATIKA OFISI ZA UMMA AMBAO HUSAIDIA HUPATIKANAJI WA TAARIFA ZA UFISADI KAMA HIZI NA MPO WACHUMIA TUMBO KAMA WEWE AMBAO MTAFANYA LOLOTE ILI KUWAKINGIA KIFUA MAFEDHULI WENZIO!!
 
nilisema siku ile ya kikao na madaktari kuwa...mpka sasa hakuna aliyevunja rokodi ya pinda kusema uongo''
 
Wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na Mapacha wawili wa Wizara ya Afya (Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na Mkuu wa Idara mmoja ambae yupo Wizara ya Afya, zinasema Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali waliosimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo Ofisini.

Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu Manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje Pinda ameweza kuwadanganya Madaktari kuwa mahasimu wao wakuu Bi Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa Alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?

Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, Je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je Waziri Mkuu Mizengo Pinda, anamdanganya nani kwamba Blandana Nyoni na Deo Mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia V8 za serikali?
Hapo sasa Mkuu NDIPO UTAKAPO ONA serikali yako ya wasanii, kweli hatuna serikali serious, watu wanafanya utani wanaona wenzao ni mbumbu wao ndio wajuaji!!!! Kama hayo ni kweli basi Tanzania tumekwisha!!!! Huo uchunguzi utafanyika lini Mzee Pinda????

 
Mambo ya serikali ni endelevu, hata mtu akisimamishwa kazi ofisi lazima ifanyekazi hivyo kama wanakwenda ni kwenda kukabidhi ofisi kwa wengine watakaochukua nafasi zao!!
Wanakabidhi ofisi wakae peke yao ndani ya hizo ofisi na kuna uchunguzi, ili waharibu ushahidi nini, waendelee kukaa ofisini kuweka mambo sawa, hiyo ni nini uhuni????Wacha kufanya wenzenu mataahira bwana huo ni ******!!!!

 
Back
Top Bottom