Black lives Matter: Wazungu wanashinda kwa fact au ni cooked data?

Bill of Quantity

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
1,233
405
nimekutana na hii statistics mahali, je ni kweli hii?

Je, wazungu nao huuliwa na polisi bila sababu yoyote tu?

Naomba kuelimishwa zaidi.

Lugha za kinunda ziache feri..

13615106_10154361403137360_2981040157559458790_n.jpg
 
Ni vigumu kuelewa kiundani hii saga yote kwa mapana yake kama hujaishi US.

First and foremost, weusi sio spokesman wa weupe ili wawasemee weupe shida zao and vice versa. Kila mtu atajibeba pale atapoguswa.

Ni kweli weusi wanauana sana kwenye hoods zao ila muuaji akishikwa anapigwa miaka mingi sana jela ila mzungu akiua mweusi ni kama sio kosa, he can easily get away with it. Jiulize ni kwanini.

Wakati huo huo mweusi almost kosa lolote linaweza kukupeleka jela ila mizungu haiendi kwa kosa hilo hilo.

Kuna mapolisi weusi wengi tu ila hata siku moja hujawahi sikia police mweusi kaua mtu wa rangi yeyote for any traffic violation siku zote ni wazungu wanaua tena wanaua weusi, hapo utagundua kuna motive behind this all

Utakubaliana na mimi gov imeguswa sasa baada ya kuona police wanauwawa ila mwanzo walionyesha kutokujali mauaji ya weusi hata pale ushahidi wa video ulipoonyesha dhahiri

Pamoja na hayo yote hayaondoi fact kwamba wanugu yani weusi wa America ni watu aggressive sana, attitude balaa, wagumu kucomly na chochote na hawawapendi police kabisa. Ila hayo hayahalalishi kuondoa uhai wa mtu kirahisi rahisi kama ilivyo sasa

Sababu sasa pande zote mbili zimegungwa na kusikia ule uchungu naamini kitu kitafanyika kabla hali haijawa mbaya zaidi. That being said, sisapoti mauaji ya binadamu yeyote.
 
Hizo takwimu ulizoweka ndio zinazidi thibitisha rasicm ni janga kubwa US.

Kwanza kabisa ukiangalia vifo vingi vya African American vinatokea kati ya miaka 15 - 34. Kwamaana hii ni Young African American ndio wana uwawa zaidi. Wanatumia mbinu ya kupotosha data kufanikisha malengo yao ya kibaguzi.

Elewa hili....asilimia ya young African American in US ni 2% tu ya idadi yote ya wamarekani lakini 15% wanahusika katika kuuwawa na police. Maaana yake ni nini? Maana yake ni kwamba young African American wapo hatarini mara nane zaidi kuuwawa na polisi.

Unakumbuka tukio la Cleveland, Ohio? Dogo Tamir Rice.....miaka 12 alipopigwa risasi na cop kwasababu alishika a toy gun? Nini kilifuata?.......polisi mzungu muuaji aliachiwa aende zake huru.

About in every 65 death of young African American in the US is a killing by whte police.
 
Back
Top Bottom