Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Nimejaribu kuisoma hii doc.kwa ushahidi uliotolewa na hawa watoto ni vigumu upande wa utetezi kusema lolote linalokinzana nao.hapa mi nadhani ni mambo ya ushirikina hamna lolote
Hata mimi baada ya kuwaza sana nimefikia conclusion hii hii, nadhani ni kama ilivyo kwa maalbino, ni kutokana na imani potofu kwa baadhi ya wajingawajinga kama hawa kuwa wanapata kinga fulani ama kuzidisha bahati kwa kufanya vitendo vichafu na watoto wadogo.
Nafikiri hivi vitendo viko vingi katika jamii yetu ila vimejificha kwa vile tofauti na mauaji ya Albino, inawia vigumu kuwagundua kirahisi kwa vile wazazi wengi hawako makini kuwaangalia watoto wao na zaidi huko vijijini.
Labda Vyombo vya habari vianzishe kampeni ya kuwaamsha wazazi juu ya hili tatizo.