WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
I just read few lines and was very disgusted, I feel like I want to vomit!!
Hakika Wanasheria na Majaji wana kazi nzito.
Put it this way laiti ingalikuwa ni mtoto wangu mimi ningekata kichwa ya babu Seya (No doubt!)
Mkuu Kweli, ni kitu cha kusikitisha na mzazi yeyote asingependa kusikiliza hadithi hiyo. Ila baada ya kusoma kurasa kama 4 za mwanzo, napata wasi wasi kama hii ni hukumu yenyewe kwa sababu kiingereza kilichotumika hakijakaa sawa. Ni kweli Mh. Hakimu kiingereza kinampa matatizo au hakusoma hii hukumu baada ya kuiandika?
XXXX went on to narrate what happened one day when she came from school. That unknown day and month Baby Seya/Sea called her and gave her soda. She called her into his room. He told her to close her eyes and she did. Then Babu Seya/Sea tied a black piec of cloth over her eyes. Babu Seya/Sea undressed her, put ointment on her private parts and "akamwingizia . . . . . lake na akamwambia anyonye . . . . . Lake". He had sexual intercourse and told her to suck his . . . . . She said his . . . . was emitting whitish things which he told her to swallow. ". . . . lake lilikuwa linatoa maziwa na wadudu wadogo wadogo akaniambia nimeze".
The Hukumu was difficult to follow....very poor english! Alafu sidhani kama hii ni hukumu, bali ni finding of facts.
Hivi ile conspiracy theory ya Babu Seya kutembea na mke wa kigogo na huyu mkubwa kuamua kumzushia kesi na kumfunga yeye na familia yake vipi? Au ni maneno ya mitaani tu?
Ndugu zangu,
Habari ndiyo hiyo.Bahati nzuri nilipata bahati pia ya kuongea na jaji aliyesikiliza rufaa na hata yeye alikuwa na hasira ha huzuni sana kuhusu kilichowatokea hao watoto na hawakusita ku confirm the sentence!
Kuhusu kiingereza kuwa hakikunyooka - huo ni mtizamo wako msomaji.Hapa ishu ni je, kesi iliendeshwa kwa kufuata misingi?
Kuhusu kuwa hii siyo hukumu - rest assured kuwa it is authentic!
All in all justice was served ndugu zanguni .
Akina babu Seya na wanawe walikuwa watu wabaya na hatari kwenye jamii yenye watu/watoto maskini.Fikiria mtoto wa miaka 6,7,8 kurubuniwa na sh.50/- 200/- na big G! kwa wale mliosoma hadi mwisho - kumbuka jinsi yule mtoto Gift alivyopatwa kiwewe kumwona babu Seya mahakamani na alivyong'ang'ania babu Seya alimlipe sh.400/- na 1000/- alizokuwa bado anamdai! Loh!
One famous lawyer once said, "it's not what you have done, but what they show you have done". Facts can be made however you want. So you always have to approach them careful. Usidhani mimi nawatetea, lakini ukumbuke how psychology plays a part katika maoni ya watu na facts zinazotolewa. Wengi wamesoma na kuona umri wa watoto, na vitendo walivyotendewa, basi, mara moja wameshatoa hukumu. Inakuwa ngumu kuona upande mwingine. but anyway...
Ivi system ya proof Tanzania ni "beyond reasonable doubt"? Na kuna trial by jury?