Kakobe ni bora aendelee hivyo hivyo kuwa mpiga kura kutokana na hisia zake lakini asiwabague wafuasi wake wanaotaka serikali mbili,au tuseme kakobe hana wafuasi wa CCM
Kama mchungaji ana wajibu wa kuwapa maarifa ya kiMungu waumini wake. Na ameweza kuwaonesha leo kuwa mpango wa Mungu ni kurudi kwa Tanganyika. Naongeza maarifa zaidi kuwa Tanganyika ilitolewa kafara kwa Lucifer katika zindiko la nchi, sasa mfalme wa utukufu anakaribia kurudi ni lazima Lucifer aitapike Tanganyika apende asipende.