Wewe ni muanglikani? Kama siyo hupaswi kujua!TAYADI kivipi¿¿¿¿¿
Wewe ni muanglikani? Kama siyo hupaswi kujua!TAYADI kivipi¿¿¿¿¿
waulize wachungaji wake waliomshtaki watakuambia utapeli wake.
Acha udini wewe! Utaperi huo umeona wapi na hali wewe muda wote upo msikitini?kakobe ameacha lini.kuwatapeli waumini wake?
Mmoja ya wachungaji walio mshitaki anaitwa Patrick deesdery 0755832121 huyu ametelekezwa na watawala na mara ya mwisho alifukuewa nyumbani kwa Mtikila akiwa amelewa pombe. NA BAADA YA HAPO AKAENDA NYUMBANI KWA MAMA RWAKATARE. SASA ILE KESI IMEPOTEZA MWELEKEO KWA KUWA WAMEKOSEA KUFUNGUA.waulize wachungaji wake waliomshtaki watakuambia utapeli wake.
mkuu tupia audio yake fasta hawa ndo viongozi wa dini sio kina askofu mdegela na mtetema hawawezi kukemea maovu ya watawala
Dini na siasa ni vitu viwili tafauti,ushauru wangu Askofu angalia neno la bwana acha siasa kwa wanasiasa
Angekuwa ni sheikh ungesikia mdini huyu Lakini kwa vile ni mchungaji hamna shida.
Lukuvi anamuogopa KakobeItabidi Askofu Kakobe amualike mh. Lukuvi ili aje abalance haya madai ya Tanganyika yetu. Itabidi watawala wetu watafute propaganda mpya, maana madai ya Tanganyika siyo ya UKAWA tu kama wanavyotaka kutuaminisha na kututishia.
Mkuu audio cheki pg 1 au 2 za uzi huu utaipata.Audio au video nenda pale mlangoni kwa kanisa lake wambie unataka cd ya pasaka utapewa, gharama yake haizidi 5000
Mkuu, ni unafiki tu unaowahangaisha eti wanamuenzi baba wa taifa. Aliwaonya ubinafsishaji wa mashirika ya umma na hasa NBC, kupuuza sera ya ujamaa na KUJITEGEMEA na kuzika Azimio la Arusha. Mbona haya hawayaenzi kwa kumheshimu????????Palipo na ukweli uongo hujitenga, hapa tulipofika uongo hauna nafasi tena, uwe profesor, uwe doctor, uwe askofu, uwe na cheo serikalini, uwe Rais au nani, huwezi kusimama na kuudanganya umma, na ni ukweli usiopingika kuwa Nyerere hakuwa Mungu wala maraika, alipokosea ni lazima tuseme wazi kwa lengo la kuanza upya kwa taifa letu, alipofanya vizuri hatuna budi kumpongeza, lakini kumgeuza binadamu mwenzio na kumsjudia kama mungu mtu, kutenda dhambi mbele ya Mungu, umefika wakati tuseme kweli, historia ya kweli italipeleka taifa mbele kutoka hapa tulipo, serikali mbili zimeishavunja muungano.
chabuso;
Angesema kuwa serekali 2 ndiyo muafaka ungemuunga mkono wala huo uongozi wake wa dini usingeli uona. Kaitamka tu Tanganyika tayari ushaanza kumtishia nyau. Kweli, majitu mengine, baasi tu.
Miye sio mfuasi wa Kakobe lakini nasema, nimempenda bure tuu. Kawafungua macho viongozi wengine wa dini. Wamuunge mkono tu.
benegiciaries wa siasa na dini ni wale wale. Pia hakuna shida kwa kiongozi wa dini kionyesha msimamo wake wa kisiasa.Dini na siasa ni vitu viwili tafauti,ushauru wangu Askofu angalia neno la bwana acha siasa kwa wanasiasa
Amesema Tanganyika huru lazima ipatikane ni
suala la muda tu
Nchi yetu imekuwa katika laana kwa muda mrefu
kwa sababu tumeshindwa kuilinda mipaka yetu
Moto wa kudai Tanganyika umewaka na hamna
mtu awezaye kuuzima. Awaonya watawala kusoma
alama za nyakati na amewataka kuiepusha nchi
kuingia katika machafuko kwa kuridhia Serikali ya
Tanganyika.
Pia amesema Nyerere sio Mungu naye ana
mapungufu yake wanaomuabudu wanakosea.
Kosa alilolifanya Nyerere ni kuruhusu kuunda
serikali hewa ya Tanzania bara ambayo kimsingi
haipo ukiliganisha na Zanzibar.
Amewaonya viongozi wanaopinga kurejeshwa
kwa Tanganyika kuwa wataitumbukiza nchi katika
machafuko.
...Hizo zilikuwa salamu za Pasaka alizozitoa leo
katika kanisa la FGBF Dar es salaam.
Ikiwa ulichoandika ni sahihi, unadhani ni kwa nini ndani ya bunge la kutunga katiba limejuisha maaskofu, mashehe na wachungaji kutoka dini na madhehebu mbalimbali??? kwanini wasingeachwa ili katiba itungwe na wanasiasa pekee????