View attachment 67053View attachment 67054View attachment 67055View attachment 67056View attachment 67057View attachment 67058View attachment 67059View attachment 67060View attachment 67061View attachment 67056 Nadhani hizi ni baadhi ya picha zinazoweza kusema, lakini kwa kifupi tu watu waliogelea kunywa na kusaza, Wema alileta keki na pia Jokate alilileta keki lakini hakufika. vijana walistarehe vya kutosha
dimond kuna watu anawalipa humu... si buree
kuna nin cha ajabu hapo?
Mwanamke mkorogo
kumbe unataka cha ajabu kwa kweli hicho sina.kuna nin cha ajabu hapo?
kuna nin cha ajabu hapo?
Ulisave kwenye Pc huo uchafu mkuu?
ila wema akizaa na diamond mtoto atakua na mdomo mzuri sana