Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 394
- 928
Bila ya kupoteza muda!
Binti uliyetoa maombi leo katika Parokia ya kanisa katoliki Buswelu, Mwanza, Misa ya pili, nakiri kusema umenikosha Moyo.
Sauti yako tamu kama Malaika wakiimba nyimbo za kumtukuza Mungu, muondoko /mtembeo ulio- fanya macho yangu ya zidi kukutazama, kubwa zaidi ni kaumbo Kako ka'kimisi. Umenifanya nitoe mchango mingi, ili tu, nikutazame vizuri.
Nasikitika kusema, juhudi zangu zimegonga mwamba hata nikalikimbilia geti la kuingilia/ kutokea kanisani japo nikuone, lakini hukuonekana.
Popote ulipo, Mimi "NAMSHAKENDE" nakutafuta kwa hali na mali, japo nipate mawasiliano yako.
Binti uliyetoa maombi leo katika Parokia ya kanisa katoliki Buswelu, Mwanza, Misa ya pili, nakiri kusema umenikosha Moyo.
Sauti yako tamu kama Malaika wakiimba nyimbo za kumtukuza Mungu, muondoko /mtembeo ulio- fanya macho yangu ya zidi kukutazama, kubwa zaidi ni kaumbo Kako ka'kimisi. Umenifanya nitoe mchango mingi, ili tu, nikutazame vizuri.
Nasikitika kusema, juhudi zangu zimegonga mwamba hata nikalikimbilia geti la kuingilia/ kutokea kanisani japo nikuone, lakini hukuonekana.
Popote ulipo, Mimi "NAMSHAKENDE" nakutafuta kwa hali na mali, japo nipate mawasiliano yako.