kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,480
- 5,072
Mbona huelewik mkuu Vp
Sio siku nyingi sana nilibahatika kuwa na mazungumzo na binti mdogo kutoka Kenya. Binti alikuwa very smart na tuliongea mengi sana. Nikamuuliza naijuaje Tanzania? Akasema mazuri mengi. Katika mengi hayo ni mazingira na vyakula,pia akajazia beuatiful people. Any way haya ni kama mafuta tuu kwa vile huwezi ringia vitu vya asili hata wanyama pori wanaweza ringa na pengine kulaumu binadamu wa kitanzania kwa vile wanaweza kuwa hawana mchango wa wanyama katika mazingira.
Baadae nikamuuliza nii hapendi Tanzania Mtoto hakusita akasema kwa namna inaonyesha yupo very honest kwenye hili "I DON`T LIKE THEIR LOGIC" . Sikushangaa sana, pengine ningekuwa na mtanzania mwigine Povu lingemtoka sana kuthibitisha anachosema huyu Binti mdogo. Issue ya Logic kwa watanzania ni kikwazo kikubwa sana. Jinsi wanajibu issue utapata huruma sana. Logic ndio inaleta shida Tanzania, logic ndio inaleta vita, logic ndio inasumbua katika kutunga sheria, logic ndio tatizo kwa watamzania waliosma na wasiosoma. Mbaya zaidi waliosoma ndio shida kabisa.
Wakenya hawajatupita elimu ILA WAMECHAGUA LOGIC TUU.Sisi tumechagua ILLOGIC. Ndio maana wapo rational sisi tupo Irrational. Ndio maana waomi wetu hata wasome vipi. Huishia kuwa kama mwandishi aliyejifunza lugha huku akiwa na alphabet iliyoondolewa herufi za msingi. Mbeleni hatojua kwanini mambo hayaendi.
Nasikia UN kuna kipindi walileta walimu wageni ktk idara nyeti za fikra. Na wengi walikuwa waki deal na Logic directly and indirectly.Tanzania ikiwa mojawapo. Nadhani walishajua nini shida yetu. LOGIC TUU. Kila mahali utasikia kuna walimu wagumu, kuna wazee wa chama wagumu, utasikia simba na Yanga kuna wanazi.Utasikia sheri aza kukufuru nyingi sana. Utasikia mengi sana.
Siku zote mwenye pochi ndefu katka jamii ndiye ujiona ana akili kuliko wenzake, wewe uje na PhD yako kama mfukon hakuna kitu utadharaulika tuu, ni nchi gani maskini inaheshimika zaid dunian kuliko nchi tajir? waingereza na wamerekan au wasouth wanaheshimika ni kwa sababu ya uchumi wao wala si akiri kichwani, hataivo aliyeshiba uwa na mawazo mazur kuliko mwenye njaa!!!Mkuu kadri miaka inavyozidi kwenda ndivyo ambavyo kasumba ya wakenya kuwa ni bora kifikra kuliko sisi watanzania inavyozidi kutoweka.
Typical mkenya anadhani kwamba anazo akili kuliko mtanzania. Na hivi ambavyo JPM anawafungia vioo na kuwakazia mazima, ndivyo ambavyo wanazidi kukasirika.
Ukweli wa maisha ni kwamba hakuna kinachobakia kilivyo milele yote, wakenya itabidi watuvumilie kwani kizazi cha vijana wa sasa wa Tanzania na wale wa miaka michache ijayo hakitavumilia mambo ya kipuuzi kutoka kwa yoyote yule.
Rais Magufuli anafanya jambo la maana sana katika kujenga kiburi miongoni mwa vijana. Anaposema tunatakiwa tuwapelekee wazungu mitumba anamaanisha tuwe na ile jeuri ya kitanzania. Kutobabaishwa na kasumba za kuwa eti wakenya ni bora kuliko sisi.
Na miaka kadri inavyosogea wakenya wengi sana watakuwa na akili kama huyo mtoto uliyekutana nae, wakishachoka kumchora rais wetu kwenye katuni zao, wataendelea kuwa na vinyongo kama huyo dogo.
Kubadirka ni ndoto kwa hali hii tunayoendanayo sidhani, ebu jaribu kukaa na kijana aliyemaliza kidato cha 4 au 6 ukae naye umpime uelewa wake, unadhan aliyemaliza kidato cha 4 au 6 kwa sasa anaweza kuwa mwandishi habar ? lakn wa 1980 hadi 90 waliweza lakn kwa sasa ni bure kabsa, Kwa sasa usishangae mtu anamaliza chuo kikuu lakn hajui mkoa wa Njombe/Iringa upo upande gani mwa Tz. We kijana ana degree yake lakn mchafuuu, afya mbovu, we unadhan huyo ana elimu kichwani kweli?? au kapita tu madarasani?Umeongea jambo la msingi sana tofauti na hao waliokuja na matusi, ni kama wanakamilisha kuthibitisha mtazamo wa mleta mada na huyo mtoto wa Kikenya.
Kimsingi kwa muda mrefu Tanzania tuliacha tasnia ya habari kuendeshwa na wenye elimu ndogo. Na hata baada ya utandawazi zika anzishwa media nyingi ambazo wana ajiri kutokana na umaarufu wa mtu au kujuana. Wengine wa hawa watu ni wale walioshindwa hata kufuzu kusomea ualimu kwa kukosa alama nzuri ktk mitihani yao. Kumbuka hapa TZ kuna tabia ya kuchukua watu wasio na ufaulu mzuri na kuwapeleka kusomea ualimu.
Sasa ukiona mtu anakosa hadi sifa hiyo anaenda kusomea uandishi wa habari unategemea atasidia kuelimisha au kuijenga jamii yenye kutumia mantiki(logic)? Tunategemea hawa wana habari ndio watumie taaluma yao kuelimisha na kuipa uelewa/ufahamu sehemu kubwa ya jamii.
Wasiokuwa na uelewa ni rahisi kupokea rushwa na kusambaza habari ambazo ni za upande mmoja pengine usio sahihi.
Afadhari kipindi fulani cha zamani cha wazee wetu walitoka vijana waliofaulu vizuri na kusomea uandishi wa habari. Na pia sasa wanachukua vijana waliofaulu na kwenda kusomea uandishi wa habaro pale USM School of Journalism. Natumaini mambo yatabadilika miaka michache ijayo.
Hii ni moja ya comment ya "irrational" and "fallacious" thinkersWakenya ,waTZ wote walewale wanafanana tu
Inaonyesha namna gani ulivyo na logic ndogo mbaba mzima na ndevu zako unakalishwa na kitoto cha kike cha Kenya kinakupa tuition halafu unaleta mada cha kibinti hicho jf kisima cha great thinkers tuijadili kauli yake
No wonder alikuwa anazungumzia aina ya watu kama wewe
Grow up boy
mwenzio alivyokukandia nchi yako nawe ungemkandia tu. Maana hamna namna.Inaelekea ulipo kaa wanaku enjoy. HADA SASA HIVI LOGIC YAKO HAITOSHI KUKUONYESHA KUWA KM HUYO BINTI KAWEZA ONA JINSI MLIVYO WAPUMBAVU NI WAZI MPO SEHEMU MBAYA SANA? Mimi si nawajua kila siku nawapa za uso huku mnatukana hadi inatia kinyaa. dogo alikuwa kipimo tu cha degree ya uozo wa watz.
Wewe na hako katoto ka Kike ni wakenya. Hauwezi kunidanganya. Kabla ya mahakama ya juu-(nyinyi mnaiita ya upeo) kutengua matokeo ya uchaguzi nilikuwa na tatizo kama lako. Nilidhani watanzania tunalo tatizo kubwa kufikiria na kutenda "illogically" leo hii ninauhakika wa kutosha kuwa sisi tuna nafuu na siku zisizo nyingi tutawapiku na kamwe hamtatukuta tena. Mtu mwenye akili anayeweza kukubali "IEBC" iendeshe uchaguzi kabla ya kufanyiwa marekebesho ya kuwasimamisha akina Ezra Chiroba hawezi akawa afikiria na kutenda logically! Ana tatizo kubwa na karibuni mtapoteza mafanikio yenu.Sio siku nyingi sana nilibahatika kuwa na mazungumzo na binti mdogo kutoka Kenya. Binti alikuwa very smart na tuliongea mengi sana. Nikamuuliza naijuaje Tanzania? Akasema mazuri mengi. Katika mengi hayo ni mazingira na vyakula,pia akajazia beuatiful people. Any way haya ni kama mafuta tuu kwa vile huwezi ringia vitu vya asili hata wanyama pori wanaweza ringa na pengine kulaumu binadamu wa kitanzania kwa vile wanaweza kuwa hawana mchango wa wanyama katika mazingira.
Baadae nikamuuliza nii hapendi Tanzania Mtoto hakusita akasema kwa namna inaonyesha yupo very honest kwenye hili "I DON`T LIKE THEIR LOGIC" . Sikushangaa sana, pengine ningekuwa na mtanzania mwigine Povu lingemtoka sana kuthibitisha anachosema huyu Binti mdogo. Issue ya Logic kwa watanzania ni kikwazo kikubwa sana. Jinsi wanajibu issue utapata huruma sana. Logic ndio inaleta shida Tanzania, logic ndio inaleta vita, logic ndio inasumbua katika kutunga sheria, logic ndio tatizo kwa watamzania waliosma na wasiosoma. Mbaya zaidi waliosoma ndio shida kabisa.
Wakenya hawajatupita elimu ILA WAMECHAGUA LOGIC TUU.Sisi tumechagua ILLOGIC. Ndio maana wapo rational sisi tupo Irrational. Ndio maana waomi wetu hata wasome vipi. Huishia kuwa kama mwandishi aliyejifunza lugha huku akiwa na alphabet iliyoondolewa herufi za msingi. Mbeleni hatojua kwanini mambo hayaendi.
Nasikia UN kuna kipindi walileta walimu wageni ktk idara nyeti za fikra. Na wengi walikuwa waki deal na Logic directly and indirectly.Tanzania ikiwa mojawapo. Nadhani walishajua nini shida yetu. LOGIC TUU. Kila mahali utasikia kuna walimu wagumu, kuna wazee wa chama wagumu, utasikia simba na Yanga kuna wanazi.Utasikia sheri aza kukufuru nyingi sana. Utasikia mengi sana.
Mkuu kadri miaka inavyozidi kwenda ndivyo ambavyo kasumba ya wakenya kuwa ni bora kifikra kuliko sisi watanzania inavyozidi kutoweka.
Typical mkenya anadhani kwamba anazo akili kuliko mtanzania. Na hivi ambavyo JPM anawafungia vioo na kuwakazia mazima, ndivyo ambavyo wanazidi kukasirika.
Ukweli wa maisha ni kwamba hakuna kinachobakia kilivyo milele yote, wakenya itabidi watuvumilie kwani kizazi cha vijana wa sasa wa Tanzania na wale wa miaka michache ijayo hakitavumilia mambo ya kipuuzi kutoka kwa yoyote yule.
Rais Magufuli anafanya jambo la maana sana katika kujenga kiburi miongoni mwa vijana. Anaposema tunatakiwa tuwapelekee wazungu mitumba anamaanisha tuwe na ile jeuri ya kitanzania. Kutobabaishwa na kasumba za kuwa eti wakenya ni bora kuliko sisi.
Na miaka kadri inavyosogea wakenya wengi sana watakuwa na akili kama huyo mtoto uliyekutana nae, wakishachoka kumchora rais wetu kwenye katuni zao, wataendelea kuwa na vinyongo kama huyo dogo.
Haya ni matatizo ya kuzaliwa nje ya ndoa. Binadamu unakuwa na upeo sawa na viumbe wa mwituni. Unaamka asubuhi hata mswaki hujapiga unaanza kutafuta naniliii mitandaoni. Pole sana kijana.
Hilo ndilo tatizo baya kuliko yote pale Madokta na Maprofesa wetu wanapoongea uongo,waoga,wanafki na kujipendekeza twende kwenye zile tafiti za mashirika ya UN,ndio dunia inavyotujua matajiri maskini tunamatatizo sana vichwani mwetu.tatizo letu ni kushindwa kuziishi logic zetu huku tukiwa mabingwa wa kuzifafanua na kuzipangilia
TypicalWakenya ,waTZ wote walewale wanafanana tu
Inaonyesha namna gani ulivyo na logic ndogo mbaba mzima na ndevu zako unakalishwa na kitoto cha kike cha Kenya kinakupa tuition halafu unaleta mada cha kibinti hicho jf kisima cha great thinkers tuijadili kauli yake
No wonder alikuwa anazungumzia aina ya watu kama wewe
Grow up boy
Ni fridge flan ivi zinataka kufanana na za hi sense logikLogic ndio nini mkuu?
Kama ni kweli ulikuwa unaongea na mtoto na akakuzidi maarifa kiasi cha wewe kumwamini na kuwadharau Watanzia kiasi hiki, huenda hajakuelewa kama kweli wewe ni Mtanzania.Sio siku nyingi sana nilibahatika kuwa na mazungumzo na binti mdogo kutoka Kenya. Binti alikuwa very smart na tuliongea mengi sana. Nikamuuliza naijuaje Tanzania? Akasema mazuri mengi. Katika mengi hayo ni mazingira na vyakula,pia akajazia beuatiful people. Any way haya ni kama mafuta tuu kwa vile huwezi ringia vitu vya asili hata wanyama pori wanaweza ringa na pengine kulaumu binadamu wa kitanzania kwa vile wanaweza kuwa hawana mchango wa wanyama katika mazingira.
Baadae nikamuuliza nii hapendi Tanzania Mtoto hakusita akasema kwa namna inaonyesha yupo very honest kwenye hili "I DON`T LIKE THEIR LOGIC" . Sikushangaa sana, pengine ningekuwa na mtanzania mwigine Povu lingemtoka sana kuthibitisha anachosema huyu Binti mdogo. Issue ya Logic kwa watanzania ni kikwazo kikubwa sana. Jinsi wanajibu issue utapata huruma sana. Logic ndio inaleta shida Tanzania, logic ndio inaleta vita, logic ndio inasumbua katika kutunga sheria, logic ndio tatizo kwa watamzania waliosma na wasiosoma. Mbaya zaidi waliosoma ndio shida kabisa.
Wakenya hawajatupita elimu ILA WAMECHAGUA LOGIC TUU.Sisi tumechagua ILLOGIC. Ndio maana wapo rational sisi tupo Irrational. Ndio maana waomi wetu hata wasome vipi. Huishia kuwa kama mwandishi aliyejifunza lugha huku akiwa na alphabet iliyoondolewa herufi za msingi. Mbeleni hatojua kwanini mambo hayaendi.
Nasikia UN kuna kipindi walileta walimu wageni ktk idara nyeti za fikra. Na wengi walikuwa waki deal na Logic directly and indirectly.Tanzania ikiwa mojawapo. Nadhani walishajua nini shida yetu. LOGIC TUU. Kila mahali utasikia kuna walimu wagumu, kuna wazee wa chama wagumu, utasikia simba na Yanga kuna wanazi.Utasikia sheri aza kukufuru nyingi sana. Utasikia mengi sana.
Kwa heshima mkuu degree ya kitila hapa sio mahali pake. Kama binadamu anamaungufu yake lakini sio kila mahali atakuwa point ya reference.Useless wakati kinachowafanya waajiriwe sio elimu ila LOGIC YAO?Na degree zenu za akina kitila zionekane km magazeti ya uhuru kwa watz.