Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
- Thread starter
- #41
Huyo binti ni mgonjwa anatakiwa akachekiwe,nadhani apatiwe tiba ya kisaikolojia,kama atakuwa na tatizo hilo adhabu inaweza kupungua au isiwepo kabisa,watu sikuhizi wana matatizo mengi yanayotokana na ugumu wa maisha tuyaangalie kwa mapana yanayostahili,kuna wanaobaka intensionaly lakini sio wote!
Tiba ya kisaikologia ni mhogo tu, akiupata wa uhakika ataachana na kutafuta hizo pilipili.