Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Source: Power FM Radio
Katika kipindi cha PATAPATA leo hii asubuhi, kipindi ambacho kinarudiwa jioni kila siku saa 1.15 nimesikia simulizi ya binti mmoja mwenye umri wa miaka 16 aliyefumaniwa akikabaka kavulana kenye umri wa miaka mitatu.
Inadaiwa mama ya kavulana alishituka katoto kuyeyuka nyumbani, akakatafuta pasipo mafanikio. Baadaye akashawishiwa kuchungulia chumbani na kukuta binti wa miaka 16 akiwa kama alivyozaliwa amekalalia katoto kale. Hakufanya papara, mama yule akawaita majirania ambao walipofika wakakuta binti yuko bize. Wakakabeba kama kalivyo na kukapeleka polisi ambako wasamaria wema wakakafunika kuondoa "aibu zao"
Wachangiaji wengi walishauri kwa sms redioni kwamba binti huyo kama ameshindwa kutafuta wakubwa akamatwe na abakwe hadi kufa. Wengine wakashauri asamehewe kwa vile huenda ametumwa akafanya alivyofanya. Mtangazaji alikuwa na wakati mgumu kuzisoma sms kali zile hata akalazimika kuzisoma nusunusu akilalamika kwamba "wewe umeandika tu, lakini mimi ndiye ninayesikika hewani"
Katika kipindi cha PATAPATA leo hii asubuhi, kipindi ambacho kinarudiwa jioni kila siku saa 1.15 nimesikia simulizi ya binti mmoja mwenye umri wa miaka 16 aliyefumaniwa akikabaka kavulana kenye umri wa miaka mitatu.
Inadaiwa mama ya kavulana alishituka katoto kuyeyuka nyumbani, akakatafuta pasipo mafanikio. Baadaye akashawishiwa kuchungulia chumbani na kukuta binti wa miaka 16 akiwa kama alivyozaliwa amekalalia katoto kale. Hakufanya papara, mama yule akawaita majirania ambao walipofika wakakuta binti yuko bize. Wakakabeba kama kalivyo na kukapeleka polisi ambako wasamaria wema wakakafunika kuondoa "aibu zao"
Wachangiaji wengi walishauri kwa sms redioni kwamba binti huyo kama ameshindwa kutafuta wakubwa akamatwe na abakwe hadi kufa. Wengine wakashauri asamehewe kwa vile huenda ametumwa akafanya alivyofanya. Mtangazaji alikuwa na wakati mgumu kuzisoma sms kali zile hata akalazimika kuzisoma nusunusu akilalamika kwamba "wewe umeandika tu, lakini mimi ndiye ninayesikika hewani"