Mimi ni mwanaume miaka 33. Natafuta rafiki wa kike awe mwanachuo, awe serious kwenye masomo na maisha kwa ujumbe. Lengo ni kuwa na urafiki wa kawaida, tufahamiane, tusaidiane. Huhusu sifa zangu, ani PM huko ndiko tutajadiliana zaidi sifa zake na za kwangu pia, tutaelezana ukweli ndipo tuone kama tunafaa kuwa marafiki wa kweli.
Karibuni sana
Karibuni sana