The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
Hebu nipashe yawezekana nimepitwa na wakati
pm me..........
Hebu nipashe yawezekana nimepitwa na wakati
Toa maoni yako...........View attachment 56231
ha ha ha ha! Madam..kuna binti wa waziri fulani hivi anamiliki bendi ya muziki nilimuuliza ana wanaume wangapi akanambia mbaka muda huo alikua nao 62 na alinihesabia..
huyo waziri ni Prof kutoka kanda ya ziwa simsikii sikuhizi na bendi yake imefulia..umenchekesha
Hesabu zako zinaonyesha amefanya ngono tangu mwaka wa kwanza aliozaliwa...! Hadi shule ya vidudu.. duh!Miaka 26 x 365 = siku 9,490
Amefanya mapenzi na wanaume 5,000. Kwa wastani toka siku ya kwanza azaliwe kila baada ya siku 1.9 amefanya mapenzi na mwanaume 1(kama sijakosea)
Huyu kiboko...
Sipati picha, kama pango vile
Toa maoni yako...........View attachment 56231
NATA labda alijumlisha na wale aliowahi kucheza nao baba na mama utotoni........ na hizi familia zetu kuhama hama inategemea kipindi cha utoto wake walihama hama mitaa mingapi, kama ukijulisha watoto aliowahi kuchea=za nao michezo ya baba na mama basi anaweza kupata nusu ya idadi hiyo, na baada ya kuvunja ungo akatembea na nusu yake.......... je hawezi kufikisha idadi hiyo?Haiwezekani kabisa anatafuta umaarufu tu!!
Nimeishia kucheka peke yangu tu......haya maandamano huwa wanatembea kimya kimya hakuna anyemsemesha mwenzie na wala hawafahamiani
hahahaha, nimeipenda hiiKama angekuwa Tanzania; Wahaya wangekuwa wamepita 2000, , Wachaga 1000, Wangoni 1000, Wasukuma 500, Wazaramo, 400. Idadi iliyobaki wengineo
Erotica na ujanja wake wote ni 32 kikiwemo kidole chake!
Toa maoni yako...........View attachment 56231
wewe mbona hujiweka? inamaana si nawewe kwenu umechafua au si historia hiyo?Kama angekuwa Tanzania; Wahaya wangekuwa wamepita 2000, , Wachaga 1000, Wangoni 1000, Wasukuma 500, Wazaramo, 400. Idadi iliyobaki wengineo
NATA labda alijumlisha na wale aliowahi kucheza nao baba na mama utotoni........ na hizi familia zetu kuhama hama inategemea kipindi cha utoto wake walihama hama mitaa mingapi, kama ukijulisha watoto aliowahi kuchea=za nao michezo ya baba na mama basi anaweza kupata nusu ya idadi hiyo, na baada ya kuvunja ungo akatembea na nusu yake.......... je hawezi kufikisha idadi hiyo?