Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,570
Binti mmoja leo jioni amekutwa amefariki ndani ya moja ya vyumba vya gesti moja iitwayo Mkomboni maeneo ya kinondoni mkwajuni,tukio hilo lilitokea baada ya wahudumu wa gesti hiyo kuona mwanaume ambaye aliingia na huyo binti anachelewa kurudi,toka aliposema anaenda kumchukulia chakula mpenzi wake,ndipo walipokutana na maiti hiyo ikiwa imelala kitandani,na mkoba wake ukiwa hauna kitu zaidi ya kitambulisho cha chuo,sikufanikiwa kujua ni wa chuo gani wala jina lake marehemu.maiti imechukuliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi.View attachment 23721
Wanavyuo ndio wateja wakubwa wa Guest House!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!