MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Msishangae Lowasa kuporomoka kisiasa vibaya dizaini ya kobe aporomokeavyo korongoni. Huyu jamaa anaagiza makumi ya madume kukatwa shingo watu wale nyama choma kule kwao eti ku-hifadhi yake hadhi. Sawa binadamu karuhusiwa kula nyama kakini hii ni sawa kwa Mungu! Kufanya wanyama wengi kwa pamoja nyama choma kama kwao nikiama ili eti upendwe? Na bado kwenzi kutoka mbinguni juu ya kichwa cha mtu. (hero2zero)