Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Mbona pale SunDown hukukitoa hicho kikokotozi hadi tukaibiwa approx. Tshs 17K?
Kumbuka vizuri niliposimama kidete mpaka wakarudisha, memory iko wapi PJ.
Mbona pale SunDown hukukitoa hicho kikokotozi hadi tukaibiwa approx. Tshs 17K?
Wanabisha hujawapa hela wakakwambia hakuna change saa zile!-Unajumlishiwa na tishu ulioitumia
...................................................
tumieni pesa iwazoee nyie....mnafikiri wao watakula wapi....
Hata hawatoi Tip ndo maana vi bei vinapanda na mahesabu kuchenga ghafla
tumieni pesa iwazoee nyie....mnafikiri wao watakula wapi....
Bora uwaeleze, maana kuna watu wabahili kweli, mtu anakuhudumia vizuri halafu unadai hata chenji ya mia mbili.............!Hata hawatoi Tip ndo maana vi bei vinapanda na mahesabu kuchenga ghafla
Mkuu, bar mpya pale pin point nini?
Sasa we ukienda ndp utatozwa mpaka kifunikoheri mimi siendagi bar,.......