Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
NI bar gani hii tukate mguu!ni vema ukaenda na calculator kama huwezi kung'oa macho!jamaa ni noma
NI bar gani hii tukate mguu!
hiyo mbona cha mtoto sogea hapo rose garden uone kilichomtoa kanga manyoya... bili unajumlishiwa na mwaka...
Jumapili tulikUwa mahali panaitwa Country Coffer, tulipigwa na shock baada ya mdada wa kaunta kutaka kuzikataa bill zake mwenyewe baada ya kujaribu kutuibia, akihisi kuwa tushalewa... kumbe watu wakaaaavu, na ndio kwanza tunapanga kuhamia Bar Mpya!pakajimmy!ni hapahapa arusha!ni-pm nikuhabarishe sitaki kuharibu biashara za watu
Jumapili tulikUwa mahali panaitwa Country Coffer, tulipigwa na shock baada ya mdada wa kaunta kutaka kuzikataa bill zake mwenyewe baada ya kujaribu kutuibia, akihisi kuwa tushalewa... kumbe watu wakaaaavu, na ndio kwanza tunapanga kuhamia Bar Mpya!
Mbona pale SunDown hukukitoa hicho kikokotozi hadi tukaibiwa approx. Tshs 17K?Sana sana huwa wanakamatwa wanaume, sie wadada huwa tunatembea na calculator kwenye vipima joto vyetu, hawatupati ng'ooo.
Very Interesting Huwa wanakosea kwa kuongeza bill why not kwa kupunguza bill? Ukimbana ohoo nilikosea mbona usikosee na kuandika less amount.
Jumapili tulikUwa mahali panaitwa Country Coffer, tulipigwa na shock baada ya mdada wa kaunta kutaka kuzikataa bill zake mwenyewe baada ya kujaribu kutuibia, akihisi kuwa tushalewa... kumbe watu wakaaaavu, na ndio kwanza tunapanga kuhamia Bar Mpya!
here are the tricks
-bei fake
-unajumlishiwa na mwaka
-unachanganyiwa namba
-grand total iliyochakachuliwa
-unawekewa vinywaji usivyokunywa
endelea