Ujenzi wa Uwanja wa Timu ya Young Africans Kuanza Mwezi Ujao.

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,287
9,923
Mapema leo, Kamati ya Utendaji ya Yanga chini ya Rais Eng. Hersi Said wamekutana kwenye kikao maalumu cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano Serena Hotel, Jijini Dar Es Salaam

Kikao hicho kilijikita zaidi kwenye kujadili ajenda mbili, Hatua ya mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa Klabu na Ujenzi wa Uwanja wa Yanga ambao unatarajiwa kuanza mwezi ujao
 

Attachments

  • IMG_20240316_173307.jpg
    IMG_20240316_173307.jpg
    152.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-03-16-17-25-54-405_com.msoft.yangafans.jpg
    Screenshot_2024-03-16-17-25-54-405_com.msoft.yangafans.jpg
    585.1 KB · Views: 2
Greda lipo site linasafisha halafu mnasema ujenzi utaanza mwezi ujao, kwani hilo greda linapofanya kazi si ndiyo ujezi umeanza? Ngoja niwe na akiba ya maneno maana Hersi anaweza kuangusha wanja ka la Santiago Bernabéu tutakosa pa kujificha
 
Back
Top Bottom