Man kama unajijua kwamba huwezi kuzi hande bia kwanini uende na laki nane club? Kwanza bia nane tu zinakulewesha sasa kwanini usingeenda na sh 20000 hata zikipotea hujutii sana! Mi sometimes nalewaga kupita kiasi so naachaga HTC simu yangu ya laki 7 nachukua ka samsung ka 30000 na nshawahi kukapoteza nikanunua kengine, iliniuma lakini haikuuma sana, ingeuma sana kama ningepoteza HTC. Sometimes tunajifunza kwa makosa yetu wenyewe so nadhani sasa utajua cha kufanya kuanzia sasa. Kumbuka: Jambo lililokutokea in the past haimaanishi litakutokea tena kama ukiwa proactive.