mi naamin tatizo kubwa la kutokupatikana kwa muafaka ni ukawa kwa kuwa wanaendekeza ubinafsi bila kujal maslah ya nchi
Teh teh, kumbe maslahi ya nchi ndo maslahi ya ccm? Maana kwa ccm maslahi ya chama kwanza, pili maslahi ya mafisadi, na tatu maslahi ya nchi! Ccm wamepuuza waziwazi maslahi ya umma!