ccm wabunge wake wote hata ukiwauliza hivi kwanini uligombea ubunge watakwambia nilifuatwa na watu wakanitaka nigombee niwe mbunge wao. Lakini huwa hawajiulizi ili kiwe nini ukigombea? Ndiyo maana hata wakiwa wabunge hata huwa hawajui ni cha kufanya kwa muda gani. Wanafikia hata kusema ukiongea sana uchaguzi ujao utakatwa jina kwenye vikao vya juu. Hao ndiyo wabunge wa CCM na hata wale wanaowatetea nao wako hivyo hivyo.
Lissu kwa kweli nimemkubali....wangekuwa wanamrushia hizi draft anazipitia kwanza........kabla hawajaleta ugoro wao bungeni
Taifa linawashukuru kwa kutupa mtu asiye na chembe ya uwoga, unafki na mpambanaji wa kweli. Tumeona kazi yake iliyo tukuka bungeni na nje ya bunge. 2015 tuongezeeni zaidi wabungeni kama huyu Tundu Lisu.
Mbavu kidogo ziachie mkuu kwa cheko....duh
Wallah Singida zamani ilikuwa inasifika sana kwa kutoa mabinti wazuri wazuri kwa matumizi binafsi ila behind the scene tuna vichwa pia! Viva semeji zangu njoja tuchanganye damu tutoe new breed!
Wallah Singida zamani ilikuwa inasifika sana kwa kutoa mabinti wazuri wazuri kwa matumizi binafsi ila behind the scene tuna vichwa pia! Viva semeji zangu njoja tuchanganye damu tutoe new breed!
Wallah Singida zamani ilikuwa inasifika sana kwa kutoa mabinti wazuri wazuri kwa matumizi binafsi ila behind the scene tuna vichwa pia! Viva semeji zangu njoja tuchanganye damu tutoe new breed!
Who are hackers..je hackers should be set free with their practices? Nchi gani duniani inakubali hackers? Were is snowden na mardon brandley and julian assange? Do thisman understand what is child porn? Can you view it online or were? To know the law is not to know IT!
Lisu should learn something on matters of IT security
Huyu jamaa ----- wa issues your blind because of his legal knowledge....hajui what are whistle blowers au ponographic practices...lisu leo kachemka
Who are hackers..je hackers should be set free with their practices? Nchi gani duniani inakubali hackers? Were is snowden na mardon brandley and julian assange? Do thisman understand what is child porn? Can you view it online or were? To know the law is not to know IT!
Kwa kutetea sinema za ngono?
ni kweli mkuu! Washukuriwe singida mashariki!bila lissu leo kurekebisha vifungu tungefungwa wote tunaotumia simu....
Mi huwa nawashangaa watu wanaombeza Mnyika kuwa hana digrii.Mnyika ni kweli.hajagraduate lkn kile kichwa kinakosa tu ushahidi wa cheti lkn kichwani ni zaidi ya hao waliograduateKweli ndugu mimi yamenitoka....unaona mtu anasema SIKATI TAMAA kama ndugu yangu Mnyika, ingawa dogo naye baadae kaamua kuendelea kupambana....wamenifurahisha hawa jamaa
ni kweli, tunaomba taasisi binafsi zinazotoa tuzo zimtambue mh. Lisu kwa utetezi wake kwa wanyonge!Lisu alipaswa kutunukiwa PhD ya heshima