Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,328
- 115,336
Nimemuelewa Mkuu ni kwamba kile nilichoandika ndio kimejaa Povu.Ame maanisha mapovu hayo vip,umeelewa ...
Nimemuelewa Mkuu ni kwamba kile nilichoandika ndio kimejaa Povu.Ame maanisha mapovu hayo vip,umeelewa ...
Vidogo vyenye umri gan ? Usije tangazwa mtaani maana havina staha... Si umeona lulu na kanumba kitoto kidogo kinabeba kg 80+na ndo maana sasa nataka vitoto vidogo maana..hawa wakubwa......
Dude, cha kwanza nakutaarifu kuwa nipo kwenye ndoa. Kwa hiyo usichukulie kwamba ni povu natoa kwako.huna point yoyote kila mtu ana maamuzi yake binafsi kuhusiana na jambo flan. mimi nimekataa sioi mwanamke wa miaka 33 you cant convince me in any how. thats my decision. miaka 33 tayari ushakuwa jioni mama why nikuoe wakat umri wako umeenda hivyo? kuna ambao wanaweza kukuoa BUT AIN'T ME BABY. wewe subiria wazee wenzio na kama umekasirika pole sana ni mambo madogo hayo.so ningekuwa tayari kukuoa kwa huo umri ndo ningeonekana mtu mzima? wakati unaaacha goli wazi watu wajishindie tu ulidhani nini leo imefika fainali ndo unataka kuniangushia mimi ubingwa? ukizalishwa nyumbani nawe una matatizo kwa nini hubani miguu yako mpaka wakati wa ndoa? si usubiri uoelewe ndo uanze kutanua miguu?
Mm sio GuJike.Gudume
Dude, cha kwanza nakutaarifu kuwa nipo kwenye ndoa. Kwa hiyo usichukulie kwamba ni povu natoa kwako.
Cha pili, even if I wasn't, I wouldn't be attracted to an overgrown baby who vents about women on social media.
Kama huwataki, why not just let them be instead of ranting on and on.
Overgrown baby.
Mwingine yupo kaburini.. Mwingine yupo segelea... Nikimaanisha alianza kuona mikuyenge ya wakubwa toka akiwa mtoto... Hvyo ukienda na Kibamia chako kwa vitoto vya miaka hii utaumbuka mr gudumeHawa ilikuaje hebu nipe story maana nawasikia sikia tu. Huyo mwenzie yupo wapi siku hizi?
That is true umrii co kigezo cha mtu kutumika sana waweza kuta miaka 23 ametumika zaid ya kikongweeNdio umri ushakwenda sasa afanyeje, kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hata kama kafikisha zaidi ya 30 akipata wa kumuoa anaolewa.
Wacha kukatisha watu tamaa bana. Pia nikwambie mkuu sio kila mwanamke mwenye umri mkubwa kwamba katumika sana na kwamba hafai kwa ndoa nalikataa hilo gudume.
Umeonaeeee. Tena hao ndio walimu wa walimu.That is true umrii co kigezo cha mtu kutumika sana waweza kuta miaka 23 ametumika zaid ya kikongwee
Ila umeshapiga hata kidogo kwa huyo dadawacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....