Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Ama kweli mkuki uusafishao kila siku ndiwo wenye kuweza kukujeruhi hapo siku za mbele.
Kenani Kihongosi ni jina lililopendekezwa na Polepole kwa Bashiru ili lipelekwe Ikulu kwa Mamlaka za juu ili pamoja na yote aweze kuwa miongoni wa Wakuu wapya wa Wilaya kupitia nafasi za upendeleo kwa UVCCM na JPM kwa imani yake kwa Bashiru na Polepole-likapitishwa.
Ajabu na isivyotarajiwa Kenani leo kawa wa kwanza kumkandia Bashiru ili aonekane hafai kwa Samia!
Funzo kwa yeyote awaye tuwe na kiasi kwenye tendo lihusulo wema.
Kenani Kihongosi ni jina lililopendekezwa na Polepole kwa Bashiru ili lipelekwe Ikulu kwa Mamlaka za juu ili pamoja na yote aweze kuwa miongoni wa Wakuu wapya wa Wilaya kupitia nafasi za upendeleo kwa UVCCM na JPM kwa imani yake kwa Bashiru na Polepole-likapitishwa.
Ajabu na isivyotarajiwa Kenani leo kawa wa kwanza kumkandia Bashiru ili aonekane hafai kwa Samia!
Funzo kwa yeyote awaye tuwe na kiasi kwenye tendo lihusulo wema.