Acha ulofa wewe, mi nagonga wapentekoste wawili mpaka sasa
no haiwezekani sina wazimu huo! Naomba uniheshim ndugu.Hii obsession yako ya bikra...kuwa mwangalifu....usije ukaishia kubaka watoto!
mbona unanitisha ndugu?Kuna uwezekano alikuwa na mimba na siku mlipoenda hospital dr aliitoa
[/B][/COLOR]
ulichokuwa unataka ni bikira au kumega?
Acha ulofa wewe, mi nagonga wapentekoste wawili mpaka sasa
Nini? si wote wanaojifanya wameokoka ni waadilifu...utaokoka siku ya Hukumu mbele ya Mola anakapoku clear kuwa ni safi na hivyo kupelekwa paradiso na waliobakia watakwenda jahanam km kawaida; huku wengine wakitaharuki ' E bwana mbona waniacha wakati nilikuwa natenda kwa jina lako?'...Sio ushamba wajameni mtoto alikuwa ameokoka, tena tulikuwa koz moja wala hakuwah kuonesha anamepotoka kimaadili.
Acha ulofa wewe, mi nagonga wapentekoste wawili mpaka sasa
nooo..! sio hivyo ndgu!Huyu ni mmegaji mzuri tu ila inaonekana alikuwa na mipango ya pembeni wakati huohuo akisubiri muda muafaka kukata utepe. Sasa kwa bahati mbaya kakuta watu wameshamwahi kuukata tena ukute hata hawakutumia mkasi lol
Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.
Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?