Bikra yake imechukuliwa na doctor

He,he,he changa la mcho.bt km unampenda endelea tu kwan bikra k2 gn bana
 
Hii obsession yako ya bikra...kuwa mwangalifu....usije ukaishia kubaka watoto!
 
ahahaaaaaaaaaaaaaa bikra mbona hadi za kichina zipo... muamini tu mkuu kwanza ww inaelekea hauko serius hospitalini ni ugonjwa gani wa kuingizia watu vyuma kama si mimba??
 
[/B][/COLOR]

ulichokuwa unataka ni bikira au kumega?

Huyu ni mmegaji mzuri tu ila inaonekana alikuwa na mipango ya pembeni wakati huohuo akisubiri muda muafaka kukata utepe. Sasa kwa bahati mbaya kakuta watu wameshamwahi kuukata tena ukute hata hawakutumia mkasi lol
 
Sio ushamba wajameni mtoto alikuwa ameokoka, tena tulikuwa koz moja wala hakuwah kuonesha anamepotoka kimaadili.
Nini? si wote wanaojifanya wameokoka ni waadilifu...utaokoka siku ya Hukumu mbele ya Mola anakapoku clear kuwa ni safi na hivyo kupelekwa paradiso na waliobakia watakwenda jahanam km kawaida; huku wengine wakitaharuki ' E bwana mbona waniacha wakati nilikuwa natenda kwa jina lako?'...
 
Huyu ni mmegaji mzuri tu ila inaonekana alikuwa na mipango ya pembeni wakati huohuo akisubiri muda muafaka kukata utepe. Sasa kwa bahati mbaya kakuta watu wameshamwahi kuukata tena ukute hata hawakutumia mkasi lol
nooo..! sio hivyo ndgu!
 
Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.

Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?

unamtaka mwanamke bikra kwani we unayo...? Ulishachakachuliwa nae amechakachuliwa.....miaka 7 then unataka kummwaga? Hapa ndipo naanzaga kuwachukia wanaume!
 
Back
Top Bottom