nashukuru! To be honest ww ni m2 mzima na umenielewa na kunisaidia 'asante!Kwanza ni muhimu utafautishe ubikra (Virginity) na bikra yenyewe (Hymen).
Hymen inaweza kutoka kwa sababu nyingi sana ikiwemo hiyo ya kuchunguzwa na daktari, kama alikuwa anaumwa sehemu za uterus, daktari anaweza kutumia vifaa ambavyo vinaingizwa kwenye njia za uzazi hivyo hymen lazima itavunjika. Kuna sababu nyigi zengine zinaweza kuvunja hymen.
Pili hiyo hymen wewe ingekusaidia nini? Sana sana ingebidi uhangaike nayo na tendo la ndoa sio rahisi liwe na raha kwake siku ya kuvunja hymen. So ni vizuri umshukuru daktari kwa kukupunguzia matatizo!
kama mdau naomba ushauri !hii mada imerudiwa tena mara ya pili ila wanaoileta ni watu wawili tofauti...........sihangaiki kutoa ushauri hapa
Black woman@ nlivumilia ili nije kuvunja kikombe ingekuwa kumega nisingesubiri siku zote izo.
kesho ndo napiga mzigo so ntakuambia mkubwa!
We ulithibitishaje hakua bikra? angekutegeshea kwenye siku zake za kikaragosi chekundu, ungegundua sio bikra?
huwa nawaogopa sana mademu walokole/wakimya. Huwa wanamegwa kimyakimya na jamaa anasepa kimya kimya. Wabaaya hao kwa mambo yetu yale!
acha bana!Mkuu pole...umeingizwa choo cha kike....unanunuaje mbuzi kwenye gunia unambeba mpaka nyumbani? halafu unamlaumu muuzaji badala ya kujilaumu mwenyewe kwa kutokuwa makini wakati mnafanya biashara...piga moyo konde endelea nae taratibu utagundua mengi...usishangae siku anakuonyesha maujuzi(fujo) ya hali ya juu....atakuambia Dr. alimfundisha ile siku alipoenda kutibiwa
kwa kifupi huyo alishaanza kupulizwa kabla tena sana tu........kwa hizo dalili ulizosema za ugonjwa ni magonjwa 2Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.
Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?
Naombeni great thinkerz wenzangu tusaidiane jamani, miaka 7 iliyopita nlkutana na bint m1 (tulikuwa sekondar) nlimtongoza! Alinizungusha sana hatimaye alkubali na kuniambia yeye ni bikra hivyo nimvumilie mpaka tuhitim chuo, nlimpenda sana kwan alkuwa mpenda dini,tabia nzuri na kiukwel sikuwah kumpa hata sh,1 zaidi yeye ndo alnisaidia kwan kwao mambo safi.
Tumeitimu chuo mwaka huu ghafla alianza kuumwa sana tumbo akawa hapat cku zake, alikonda sana niliingiwa na hofu kubwa lkn nilienda nae hosp nakupata huduma baadae alipona kabisa nami nikaona nikumbushie ile ishu(ahadi) alisumbua sana baadaye alinipa mzigo lkn nimekuta hana bikira nlipomuuliza alinijib labda doctor ndo alitoa eti aliingiziwa vitu sirini, jaman nimevumilia miaka saba sijapata nilichotaka je kuna umuhim wa kuwa naye?
zile @ rejao ,ukiibanjua inatoka ka bomu la nyuklia,zinauma usiskie!!!!
mh, ..kaka ww ni wa aina yake!ilitoka siku hiyo..!
wanaume jamani tunadanganywa sana . Nina rafiki angu anasoma chuo kikuu nchi ya nchi alikuja summer mwezi uliopita akaja kwangu akaniomba nimsindikize shule moja ya wasichana ambayo ni boarding tulipofika tukamkuta mpenzi wake sehemu (walitoroka shule) baada ya hapo jamaa akawa ananisimulia habari za yule dada kuwa anamchumba wake na wameahidiana kuoana na jamaa anajua kuwa mchumba wake ni bikira ukweli jamaa siku ile almmega kwa uthibitisho dada anamponda jamaa yake balaa. Siku ile jamaa angu akampigia cm mchumba wa dem wake na kuongea naye na kusema kweli yule ni mchumba ake na ni bikira na wameshatambulisha kwa wazazi. Kumbe wenzie huku wanamega yeye anasubiri bikira siku akimpata atakuta handaki.