Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Alafu siku mkishafunga ndoa unakuta sio bikra,kumbe masela walikuwa wanajimegea hahahaha!amka kaka upofu wa mapenz huo.
Huyu Gf wangu 2napeanaga maromansi ila vidole utazua varangat C kidogo
Yeye anataka nimnyonye k-n-mb-e.
Nina Gf Wangu(anajitegemea) Ambaye Kiukwel Ninampenda Sana Na Ndio Maana Hata Aliponizuia Kuwa Nisimwage Wino Mpaka 2we Ktk Ndoa kwa Kuwa Yeye Ni Bikra Na Hakuna Anayeistahl Mpaka Yule Atakayemuoa(mimi),
Mzee Nikanywea Na Ku2lia
Ila Maisha Ya Mahusiano Haya Kiukwel Naish Kimashakamashaka Hasa Ukizangatia Nampenda Halafu Mwisho Wa Siku Nikapigwa Pilipili Ya Macho
Na Hyo Bikra Yake kama Mwana jf Fulan Hv.
Huyu Gf Mimi Ni Mwanaume Wa Pili Anadai Wa Kwanza Alianza Nae Mahusiano Toka Shule Na Wakadumu Kwa Miaka Miwil Kisha Wakaachana
Ingawa Anadai Nae Hawakuduu Nae.
Wajamen Naomba Msaada Namna Ya Kumjua Mwanamke Bikra... kwani Nimechoka Mwenzenu Na Hizi Propaganda Zake
Suala La Pili Ni Kwamba Huyu Gf Wangu Kila Wiki Anavaa Nguo Mpya Vlievile Hata Kichwan Yaan Ni Bandika Bandua Fashen Za Nywele After 2 Wiks
(najua Mshahara Wake Haukiz Mambo Yote Haya)
USHAUR WAJAMEN PLZ MWENZENU NIMEFUNGWA!!
Na mwanamke anaye olewa na mwanaume kama huyo mbona ana kazi, mana kisha anza kumshakia kabla ya ndoa je akisha owa....Afu huyo dogo nadhani anataka kuchungulia tu kama ana bikra au hana, sa sijui akisha onyeshwa bikra kabla ya ndoa na wengine hawatachungulia kama yeye.heshimu maamuzi yake kama kweli unampenda ...
Wewe unampenda huyo msichana au unapenda bikira?
Na kuhusu kubadili nguo hujui mwanamke matunzo? Na kama kuvaa nguo mpya tu kunakufanya usijiamini akikuzidi kipato je si ndo utamkimbia?
Tafakari, jichunguze wewe unataka nini toka kwa huyo dada bikira au binti?
kweli kakufanya poyoyo.
Yaani wee unamla samaki nembe wake afu wee unaishia kuimba 'baba paroko'???
Utakuwa zeifu na keshagundua
huwa mafua hayatoki?? Si ulie kama Keagan alivyomlilia Talia akapewa mzigo?
Wewe unampenda huyo msichana au unapenda bikira?
Na kuhusu kubadili nguo hujui mwanamke matunzo? Na kama kuvaa nguo mpya tu kunakufanya usijiamini akikuzidi kipato je si ndo utamkimbia?
Tafakari, jichunguze wewe unataka nini toka kwa huyo dada bikira au binti?
yaani Roho Inamung'unyuka Mwenzenu
Hasa Ukizingatia Nampenda Sana Huyu Gf!
Hujui kuwa baadhi ya mabinti wana misururu ya wanaume? Kwa mfano, mmoja wa kugharamia usafiri / kununua gari, wa pili wa kulipia rent ya apartment, wa tatu ni ATM ya kutoa fedha za matumizi, wa nne ni kununua kiwanja, wa tano wa kugharamia ujenzi wa nyumba, wa tano wa matanuzi / out/ offers, wa tano wa malove dav. Kalagababo, wewe ni nani kati ya hao?? Vunja mtandao, jiondoe au umkomalie!!!
Sasa Mkuu Kutestiana Ni Mishu Nyingne Hyo!