Mtihani wa kidato cha pili unaendelea kitaifa,Walimu wanaosimamia mtihani huo wakiwa hawajalipwa chochote mpaka sasa na leo ni mwisho kwa shule zenye Masomo 9.
Kwa kweli inatia huruma mwalimu kahudhuria semina hajakutana na soda wala maji, nauli kajilipia, katumia nauli ya wiki nzima kwenda kasimamia kwa kutumia boda boda nauli kwenda na kurudi 6000.
Mi binafsi nimebaki na maswali mengi,
1. Je ni kweli serikali inayodhamira ya dhati ya kuinua kiwango cha ufaulu nchini.
2 kwa nini elimu yetu inafanyiwa siasa.
3 Je Big Result Now ni kwa mpango gani itafanikiwa.
Mpaka sasa ni kimya hakuna kauli yoyote..ILEMELA-MWANZA..
Kwa kweli inatia huruma mwalimu kahudhuria semina hajakutana na soda wala maji, nauli kajilipia, katumia nauli ya wiki nzima kwenda kasimamia kwa kutumia boda boda nauli kwenda na kurudi 6000.
Mi binafsi nimebaki na maswali mengi,
1. Je ni kweli serikali inayodhamira ya dhati ya kuinua kiwango cha ufaulu nchini.
2 kwa nini elimu yetu inafanyiwa siasa.
3 Je Big Result Now ni kwa mpango gani itafanikiwa.
Mpaka sasa ni kimya hakuna kauli yoyote..ILEMELA-MWANZA..