Komamanga
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 221
- 17
Kanumba ni 'star mate'. Watawapokea housemates leo na kesho wanaondoka nadhani
mwacheni nae auze sura jamani ndio masoko yenyewe hayo
Kanumba ni 'star mate'. Watawapokea housemates leo na kesho wanaondoka nadhani
Only men at start, ladies to follow next week. No male from Tanzania...!No ladies or what only guys? Let's wait and see may be our rep. will be a lady who knows?
There are two housemates from Kenya
Evictions starts tomorrow! This' Revolution for sure hahahaha
lugha baba lugha kule inaongelewa lugha lol.
mwacheni nae auze sura jamani ndio masoko yenyewe hayo
Duuuuhhhh, Kanuuuuumbaaaa, the Great, leo umenichosha kabisa....!!!
Lakini unajua mwaka jana nilishangaa sana yule mtoto Latoya maana alikuwa anaflow vizuri sana, na nilishangaa kuambiwa ni Form IV na kazi yake ni secretary tu. I think yule mtoto anaweza kufanya vizuri kwenye Movie industry sijui kwanini akina Kanumba hawakumpa Contract. Kwanza ukiona alivyocheza na wale wanaume akina Ricco bahati mbaya tu tulimwona ni maharage ye Mbeya ukweli ni kuwa ile strategy akiileta kwenye sanaa ya movie ataweza kuuza. Nadhani ile kutolewa mapema watu waliona hana jina na hana lolote, lakini kwnadhani kuugiza na kuzungumza (hasa kwa kiingereza) anamzidi Mwisho Mwampamba mshindi namba 2 BBA I.
Mkuu Mbogela
Ukweli ni kuwa ukiwa hujawa sulebitee, akili inachemka haraka kujifunza na kujitahidi.
We fikiria hiyo promo ya Kanumba BBA angepata mjanja mwingine habari ingekuwa tofauti kabisa kuanzia kesho
Lakini Multi Choice Tanzania walitumia kigezo gani kumchagua Kanumba kuwa awe mwakilishi wetu bondeni? hakukuwa na interview fulani hivi? inamaana waliangalia tu anafanyaje kwenye soko la ndani bila kuangalia kama atafanya vizuri nje? Kama hawakupima uwezo wake wa kucommunicate basi kuna tatizo pia Multichoice.
?????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????
Mwandishi: haki Tarehe: Sunday, September 06, 2009 | kiungo mahususi
Mwakilishi Wetu Kwenye Shindano la
Big Brother Africa 4
2009...
Mmoja kati ya waigizaji wengi wa filamu nchini Tanzania ambao wanasaidia kuzirudisha enzi hizo ni kijana Steven Charles Kanumba(pichani)amechaguliwa na kufanikiwa kutuwakilisha rasmi kwenye shindano la big brother afrika 2009 nchini afrika ya kusini ambalo limeanza rasmi takribani dakika ishirini na tano zilizopita hivi sasa wadau mbalimbali wamejikusanya Paradise City Hotel - Savanna Lounge jijini Dar es Salaam kushuhudia uzinduzi huo rasmi uliaoandaliwa na MultiChoice Tanzania.Tanzania imeshafanikiwa kuwakilishwa na Mwisho, Richard ambaye alikuwa mshindi na Latoya.
Steven Kanumba alizaliwa mkoani Shinyanga tarehe 8 January mwaka 1984.Alipata elimu yake ya msingi katika Shule ya Msingi Bugoyi huko huko Shinyanga.Baadaye alijiunga na shule ya sekondari Mwadui ambapo alisoma kwa miaka miwili tu kabla ya kuhamia katika shule ya Dar-es-salaam Christian Seminary alipomaliza elimu yake ya awali ya sekondari.Baada ya hapo alijiunga na shule ya sekondari Jitegemee kwa masomo ya kidato cha tano na sita.Endelea kuperuzi Ukurasa huu kwa picha na habari zaidi
lugha baba lugha kule inaongelewa lugha lol.
Kanumba anatia aibu kaulizwa ni msanii gani wa kimataifa ungependa kufanya nae movie, eti anajibu I I I love ehh eeh Angelina Jolie halafu anashindwa kuelewa international star ni any star who is not a Tanzania kazi kweli kweli?