RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
aliishia kuosha vyombo wakati masela wakijibwaga na bia na mafegi,well anakaa 24hrs atatoka tuone nicelebrity wa kwetu,ingekuwa kiswahili pale looh mambo yangekuwa mswano wengine wasingekunywa maji vile angeflow! well WEMA SEPETU ndo aningia kama mwakilishi wa tz tusubiri jamani!!