Biblia na biashara ya utumwa wa mtu mweusi Marekani

Ili kujifunza biblia vizuri inahitaji ufunuo kutoka kwa Mungu akufunulie.Ukisoma ufunuo 4:anazungumzia kanisa la Laodikia kanisa lililo vuguvugu.Mungu ameahidi kulitapika kwa sababu si moto wala so baridi.pia ameeleza kuwa nyakati za mwisho mafundisho ya uongo yatapata nafasi kubwa na roho ya udanganyifu itatawala.
Hivyo basi katika watu wa kipindi hiki mafundisho mengi ya uongo kwa kuwa watu wanatafsiri biblia kwa akili zao.
Kipindi cha utumwa kilikuwepo hata kabla ya kristo labda tu mfumo ndo ulikuwa tofauti.Lakin je,Yesu watumwa aliowazungumzia ndio hawa weusi sawa na Wamarekani wanavyoonesha?Jibu ni si kweli. Mfano kama umeajiriwa wewe ni mfano wa mtumwa.Timiza majukumubya boss(bwana)wako kwa ufasaha na utii.pia baadhi ya maeneo bibilia inasema waovu ni watumwa wa dhambi,watumwa wa shetani.Mungu atusaidie kutambua roho za uongo zinazojinasibu kumtukuza Mungu kumbe ni wapingakristo.Mungu atusaidie .Amen
huyu mungu hapa chini mbona mkatili kuliko sana!!!! waafrika mnasikitisha sana

2 wafalme 2:23-25

3 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!” 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+ 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.

1 samweli 15:3

3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’
 
huyu mungu hapa chini mbona mkatili kuliko sana!!!! waafrika mnasikitisha sana

2 wafalme 2:23-25

3 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!” 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+ 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.

1 samweli 15:3

3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’
Mungu huwa hana mchezo na watu wanaomkosea.anawaadhibu kisawasawa.Adhabu yao kubwa ilikuwa ni kuuawa.NDIO.unakufa ukimdhihaki ama kumkosea Mungu sharti ufe.Ila ukitii maagizo yake utasamehewa.Tii utaona Mungu akitenda makubwa juu yako
 
Habari za jioni wana JF leo nina mada sensitive kidogo ila ni muhimu sisi waafrika tujifunze mambo haya ili tuweze kufahamu historia yetu na wapi tunaelekea ila nahitaji utulivu unaposoma ili ujifunze kitu na ningeomba pia tusikashifiane kidini maana sio lengo la uzi huu, nashukuru kwa ushirikiano wenu.

View attachment 871542UTANGULIZI
Tukirudi nyuma marekani mwaka 1619, ambapo ulikuwa mwanzo wa karne mbili za wanadamu wa jamii ya Negroid yaani ngozi nyeusi kutoka bara la Afrika kutumikishwa kwenye mashamba na makazi ya wazungu lakini cha kushangaza zaidi na kinachoumiza zaidi ni kwamba uhuni huu ulipewa support kubwa na viongozi wa dini na makanisa ya huko marekani sio tu madhabahuni bali pia madarasani.

Kwa mfano kati ya miaka 1700 mchungaji William Graham alikuwa anakaribishwa kwenye vyuo mbalimbali huko Washington hasa siku za mahafali ili kuwaeleza umuhimu wa biashara ya utumwa na mbaya zaidi alitumia biblia kuhalalisha hilo.
View attachment 871540
BIBLIA INASEMAJE??
TITO 2

9 Watumwa na wawatii bwana zao, wakiwapendeza katika mambo yote; wasiwe wenye kujibu,
10 wasiwe waibaji; bali wauonyeshe uaminifu mwema wote, ili wayapambe mafundisho ya Mwokozi wetu Mungu katika mambo yote.

EFESO 6:5
5 Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba ni kumtii Kristo;

Walawi 25:44
44 Tena katika habari za watumwa wako na wajakazi wako, utakaokuwa nao; mataifa walio kando-kando yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi.
45 Tena katika wana wa wageni wakaao kati yenu mtajinunulia, na katika jamaa zao walio pamoja nanyi, waliowazaa katika nchi yenu; wao watakuwa milki yenu.

Kutoka 21:20
20 Mtu akimpiga mtumwa wake, au kijakazi chake, kwa fimbo, naye akifa mkononi mwake, hana budi ataadhibiwa.
21 Lakini akipona siku moja au mbili hataadhibiwa; maana, ni mali yake

SABATO
Hata wakati ukoloni ukichachamaa huko America Nabii wa kisabato Hellen G White alionyesha wazi kusupport ukoloni wa watu weusi kwa kutumia Biblia hata kwenye mkusanyiko wa maandiko yake yaliyoitwa selected messages (Book 2) Hellen alisema "Kusiwepo na muingiliano wa ndoa kati ya weupe na watu weusi". Na akaenda mbali zaidi na kusema watu weusi wasijaribu kujiweka daraja moja na weupe sababu wao ni watumwa hivyo kibiblia hawawezi kuwa level moja na Bwana wao (wazungu) hapa nanukuu kutoka kitabu cha Testimonies volume ya 9

"The Colored People should not urge that they be placed on an equality with White People."

View attachment 871541
UKATOLIKI
Wakatoliki nao hawakuwa nyuma kwenye kutumia biblia kuhalalisha ukoloni, tokea mwaka 1517, hata Askofu mmoja aitwaye Las Casas wa uingereza aliagiza meli yenye watumwa kutoka Afrika na ombi lake likakubaliwa na mfalme Charles wa 5. Kibaya zaidi hata mapadre wa kikatoliki maarufu kama Capuchin missionaries walifungiwa na kanisa katoliki baada ya kudai watumwa wapandishwe hadhi huko marekani. Hata waasisi wa mwanzo wa kaniasa kina St.Augustine kwenye maandiko yake alisema utumwa ni taasisi iliyotokana na Mungu hivyo ni faida kwa mtumwa na Bwana wake. Na hata uongozi wa juu kabisa wa kanisa yaani ofisi ya Papa walisupport utumwa mfano Papa Martin 1 mwaka 650 AD alitoa waraka kuagiza kutimuliwa kanisani kwa viongozi wowote watakaofundisha watumwa kujikomboa ama kupinga ukoloni?? Na mafundisho haya walitumia vifungu hivi vya Biblia kuhalalisha.

HOJA
1.Sasa basi mie najiuliza swali moja kama Mungu alituumba wote kwa usawa kwanini basi kuna wanadamu wanahesabika ni daraja la pili hadi aruhusu wauzwe na kununuliwa kama bidhaa na kuwa mali ya mtu milele?

2. Kama utumwa ni halali kibiblia je ina maana wote waliopinga utumwa na ubaguzi wa rangi hapa duniani wote wamefanya dhambi hivyo wataishia kuzimu?

3. Je msimamo wa kanisa wa sasa kupinga utumwa haukinzani na mafundisho ya biblia juu ya kuhalalisha biashara hii ambayo wanaiita haramu kwa sasa??

View attachment 871543
HITIMISHO
Huenda Biblia ilitumia muktadha wa kipindi hicho kuelezea suala hili la utumwa ila viongozi wa kanisa wakayatafsiri vibaya maandiko haya kwa maslahi yao ila ningependa tufahamishane kuhusu suala hili kama lina baraka za biblia kweli au viongozi wa kanisa walidanganya wao kama wao kwa sababu zao binafsi??

Naomba kuwasilisha

Kwenye paragraph ya sabato
ellen g white hakusupport utumwa ume misunderstand context nadhani ya maandiko yake wasabato walio support utumwa walifutwa ushirika wa kanisa

soma hii nimecopy somewhere ROY BRANSON anaandika...

Ellen G. White: Racist or Champion of Equality?
By Roy Branson​
How does one resolve the apparent contradiction in the following statements from Ellen G. White?
"Christ came to this earth with a message of mercy and forgiveness. He laid the foundation for a religion by which Jew and Gentile, black and white, free and bond, are linked together in one common brotherhood, recognized as equal in the sight of God."[Ref 1]
"The colored people should not urge that they be placed on an equality with white people."[Ref 2]
Was Mrs. White inconsistent? Was her true position equality of race? If so, why did she urge in volume nine of the Testimonies, "Let the white believers and the colored believers assemble in separate places of worship"?[Ref 3]
In order to understand Mrs. White's statements urging segregation at the turn of the century, it is necessary to recreate their context. What were her racial views as a whole? What were Adventist contemporaries saying about race? What were the changing social and political conditions of nineteenth and early twentieth century America? Finding answers to these questions leads one to conclude that to her contemporaries Mrs. White could never have appeared to be a racist. In fact, throughout much of her life, radicals on race relations would have assumed that she was one of their own.
Today, denouncing slavery and its advocates does not seem revolutionary. But the majority did not oppose slavery in mid nineteenth-century America. So many good and regular members of the Methodist denomination condoned slavery that the church split in 1844. A year later, slavery divided the Baptists. These denominations provided most of the members for the Seventh-day Adventist Church, which at that time was working largely in the North. In 1857 the New Side Presbyterians could no longer agree on the Christian attitude toward slavery. So many Christians defended slavery in 1861 that three denominations were torn apart: Old Side Presbyterians, Lutherans, and Episcopalians.
While many fine Christians defended slavery or insisted that it was an economic or political issue, certainly not a moral one, Mrs. White called slavery "'a sin of the darkest dye.'" [Ref 4]
Furthermore, she demanded its public defenders be disfellowshiped from the Advent Movement.
A Strong Position
"'You have never looked upon slavery in the right light, and your views of this matter have thrown you on the side of the Rebellion, which was stirred up by Satan and his host. Your views of slavery cannot harmonize with the sacred, important truths for this time. You must yield your views or the truth. Both cannot be cherished in the same heart, for they are at war with each other. . . . Unless you undo what you have done, it will be the duty of God's people to publicly withdraw their sympathy and fellowship from you, in order to save the impression which must go out in regard to us as a people. We must let it be known that we have no such ones in our fellowship, that we will not walk with them in church capacity.'"[Ref 5]
At a time when slavery was an open question for Americans, Mrs. White declared that Adventists holding pro-slavery views were anathema. It would have been possible to denounce slavery in the strong terms Mrs. White used and still have stopped short of being an abolitionist. In fact, Adventists were abolitionists at a when most opponents of slavery advocating other solutions. Some attacked the existing system of slavery advocated dispersion of blacks throughout the country. Others proposed separating American blacks into Africanized states" in the deep South.[Ref 6] Until 1833, most opponents of slavery supported colonization of American blacks in Africa, Central America, or the Caribbean Islands. At different times in its history, the American Colonization Society boasted a its officers such men as Secretary of the Treasury William H. Crawford, Speaker of the House of Representatives, Henry Clay, and former Presidents James Madison and James Monroe.[Ref 7] President Lincoln called a group of free blacks to the White House in August, 1862, and urged them to support colonization. Right to the end of the war, he thought colonization would help relieve the racial problem in America. [Ref 8] A further indication abolition was not synonymous anti-slavery sentiment was the fact the official position of the Republican Party was not abolition of slavery but its nonextension into new States. [Ref 9]
Even in the North, abolitionists were considered extremists. A few days after Pennsylvania Hall, built especially for abolitionist meeting Philadelphia, was first opened, a pro-slavery mob burned it to the ground. William Lloyd Garrison, commemorated today by a statue in Boston, was mobbed by Bostonians trying to tar and feather him for abolitionist agitation. As one historian has said, "To be an abolitionist in Boston, Philadelphia, or Cincinnati meant courting social ostracism, business ruin, and physical assault." [Ref 10] North and South, abolitionists were considered almost as extreme as demonstrators in American cities today. "The abolitionist movement never became the major channel of Northern anti-slavery sentiment. It remained in 1860 what it had been in the 1830's the small but not still voice of radical reform.[Ref 11]
Among the variety of anti-slavery groups, Adventists identified themselves with the radical, abolitionist minority. Sojourner Truth, one of the black heroines of abolition, visited a Millerite camp meeting in 1843, though she did not agree them. Years later she settled in Battle Creek. There she had Seventh day Adventist friends, and early Battle Creek College students often visited her. At least one edition of her biography printed by the Review and Herald for its author, Frances Titus.
Joseph Bates the former sea captain who had so much to do with Adventists, accepting the Sabbath, first supported the American Colonization Society, later helped found the abolitionist society in his home town. [Ref 12:]
Even within this extreme reformist segment of American society some were more radical than others and Adventist stood with the more activist. "Abolitionists" were also divided on the matter of devoting time and energy to assisting fugitive slaves.[Ref 13:] Prominent Adventists had no such qualms. John Preston Kellogg, the father of John Harvey Kellogg and W. K. Kellogg was one of the incorporators of the Seventh Day Adventist publishing association and a member of the Seventh day Adventist Church to the end of his life. He used his farms in Michigan to harbor slaves fleeing their former owners. [Ref 14] John Byington. the first president of the General Conference of Seventh day Adventists had earlier left the Methodist Episcopal Church because it did not take a stand against slavery. At his farm in Buck's Bridge, New York, he maintained a station of the Underground Railroad, illegally transporting fugitive slaves from the South to Canada. [Ref 15]
Anyone who thinks these men were aberrations with the Adventist Church should remember that Mrs. White herself said that, "the law of out land requiring us to deliver a slave to his master, we are not to obey." [Ref 16] While even some of the abolitionists refused to go so far as breaking the fugitive slave law, Mrs. White advocated disobeying this Federal statute. She did this on the basis that this law conflicted "with the word and law of God." She may have had in mind Deuteronomy 23:15: "Thou shalt not deliver unto his master the servant which is escaped from his master unto thee."
Lincoln's Position
When the North elected Lincoln the fugitive slave law was still the law of land. In his first inaugural address Lincoln went out of his way to promise he would enforce that law specifically. He also reminded the country that they had not voted for abolition. Quoting from his campaign speech, he pledged anew that "I have no purpose, directly or indirectly s. to interfere with the institution of slavery in the states where it exists. I believe I have no lawful right to do so. and I have no inclination to do so." [Ref 17]
Even when war broke out. Lincoln refused to proclaim emancipation. In fact he ordered Union officers to stop harboring fugitive slaves escaping to advancing Union armies. Abolition leaders such as Wendell Phillips, Henry Sumner, and William Garrison exploded into attacks on Lincoln and his administration. [Ref 18]
Mrs. White too complained that "thousands have been induced to enlist with the understanding that this war was as to exterminate slavery; but now that they are fixed, they find that they have been deceived that object of this war is not to abolish slavery." [Ref 19]
Not only had American citizens been alienated, but potential allies as well. "I was shown that if the object of this war had been to exterminate slavery, then, if desired, England would have helped the North. But England fully understands the existing feeling in the Government, and that the war is not to do away with slavery but merely to preserve the Union." [Ref 20] Failure of the North to declare emancipation of slaves its goal had not only led to the undermining of morale and loss of allies but even worse, to outright subversion. "There are commanding officers who are in sympathy with the rebels. While they are desirous of having the Union preserved, they despise those who are anti slavery… It seems impossible to have the war conducted successfully, for many in our own ranks are continually working to favor the South, and our armies have been repulsed and unmercifully slaughtered on account of the management of these pro-slavery men." [Ref 21]
Mrs. White statement could most likely have been applicable to General George B. McClellan, General in Chief of the Union Army, who was persistently attacked by abolitionists for not strongly opposing slavery and for not executing the war more vigorously. [Ref 22]
Mrs. White rose to the heights of indignation when Northern leaders indifferent to the causes of abolition returned slaves to their former owners and simultaneously issued pious proclamations for national fasts and prayer Such hypocrisy must be condemned. "I was shown that these national fasts were and insult to Jehovah. He accepts no such fasts....
"Great men professing to have human hearts have seen the slaves almost naked and starving and have abused them and sent them back to their cruel masters hopeless bondage.... They have deprived them of their liberty and free air which heaven has never denied them, and then left them to suffer for food and clothing. In view of all this, a national fast is proclaimed! Oh, what an insult to Jehovah!" [Ref 23]
Clearly, Mrs. White stood with that abolitionist minority in the North which condemned those who hesitated or equivocated on the emancipation issue.
REFERENCES:
1 Testimonies, vol. 7. P. 225
2 Ibid., vol 9. P. 214
3 Ibid., p. 208
4 Ibid., vol 1. P. 359
5 Ibid., pp. 359, 360
6 Robert F. Durden. "Ambiguities in the Anti-Slavery Crusade of the Republican Party," The Anti-Slavery Vanguard (1965), pp. 375, 376
7 P. J. Staudenraus, The African Colonization Movement. 1816- 1865 (1961)
8 John Hope Franklin, From Slavery to Freedom, p. 281
9 Durden op. cit. P. 365
10 Frank Thistlewaite, America and the Atlantic Community (1959), p. 116
11 Martin Duderman, "Northern Response to Slavery", The Anti-Slavery Vanguard, p. 395
12 Joseph Bates, The Autobiography of Elder Joseph Bates (1868), pp. 232, 233, 236-238
13 Larry Gara, "Who Was an Abolitionist?" The Anti-Slavery Vanguard, p. 39
14 SDA Encyclopedia (1966), pp. 650, 1060.
15 Ibid., p. 181
16 Testimonies, vol. 1, p. 202
17 Roy P. Basler, Collected Works of Abraham Lincoln, vol. 4, (1953), p.263
18 Franklin, op. cit. P. 273
19 Testimonies, vol. 1, p. 254
20 Ibid., p. 258.
21 Ibid., p. 256.
22 J.G. Randall, Lincoln the President, vol. 2 (1945), pp. 108-125, especially pp. 123, 124.
23 Testimonies, vol. 1, p. 257.
 
Kama utumwa ulikuwepo tokea awali sasa biblia ilitumikaje kupumbaza watu maana utumwa upo tokea enzi na enzi.sasa hapo umemisunderstood au unataka kuonesha chuki za dhahiri juu ya kitabu kitakatifu.
Utumwa ulikuwepo kabla ya kuja Yesu na Biblia yake hapo ndio utaona ya kwamba Biblia ilitungwa kuwapumbaza watu na kuhalalisha Utumwa kwani waliona njia sahihi ya kumteka binaadam kiakili ni Iman
 
Sawa.Haya mambo yanaenda kiimani zaidi.Ili uelewe unatakiwa usiwe biased.Kwanza ili uelewe kuhusu Mungu lazimanuamini kuwa Yupo na anatenda kazi.Kama huwezi kuelewa hilo maana yake huwezi kuelewa.Wewe upo nje ya Mungu hivyo huwezi kuelewa yaliyo ndani ya Mungu.Kama ungekuwa ndani ya Mungu ungeelewa yaliyomo kwa Mungu.Kama unataka kujua yaliyomo kwa Mungu Karibu Kwa Mungu.Nawe utaona mambo makubwa ajabu.
mungu katili namna hii simtaki
bibli ni kitabu cha ovyo kuwahi kuandikwa
 
Ili kujifunza biblia vizuri inahitaji ufunuo kutoka kwa Mungu akufunulie.Ukisoma ufunuo 4:anazungumzia kanisa la Laodikia kanisa lililo vuguvugu.Mungu ameahidi kulitapika kwa sababu si moto wala so baridi.pia ameeleza kuwa nyakati za mwisho mafundisho ya uongo yatapata nafasi kubwa na roho ya udanganyifu itatawala.
Hivyo basi katika watu wa kipindi hiki mafundisho mengi ya uongo kwa kuwa watu wanatafsiri biblia kwa akili zao.
Kipindi cha utumwa kilikuwepo hata kabla ya kristo labda tu mfumo ndo ulikuwa tofauti.Lakin je,Yesu watumwa aliowazungumzia ndio hawa weusi sawa na Wamarekani wanavyoonesha?Jibu ni si kweli. Mfano kama umeajiriwa wewe ni mfano wa mtumwa.Timiza majukumubya boss(bwana)wako kwa ufasaha na utii.pia baadhi ya maeneo bibilia inasema waovu ni watumwa wa dhambi,watumwa wa shetani.Mungu atusaidie kutambua roho za uongo zinazojinasibu kumtukuza Mungu kumbe ni wapingakristo.Mungu atusaidie .Amen
1.Kwahiyo unachotaka kusema ni kwamba Kanisa katoliki,wasabato na waprotestant walipotosha maandiko ya Mungu kuhusu utumwa ???

2. Biblia imetofautisha kati ya mjakazi na mtumwa clearly kabisa maana neno la kiebrania la mtumwa na kijakazi ni mawili tofauti hivyo hayana maana moja hilo la muhimu zaidi.

3. Kuhusu watumwa sijasema ni lazima wawe weusi nachosema ni kwamba Biblia ilitumika kuhalalisha ukoloni wa watu weusi sababu makanisa yote yalitumia mistari hii kuhalalisha huu uhuni ndio maana nikauliza je kanisa ndio lilipotosha maandiko?? sijaona ukijibu hili swala??

4. Unaweza ukajibu hoja bila kumuita mwenzako ana mafundisho ya uongo mie nimeuliza swali wala sijachambua maneno yeyote hapa nikitegemea nyie mje na majibu sasa wapi nimeleta mafundisho ya uongo kwenye huu uzi wakati nimecopy na kupaste walichosema wakatoliki,waprotestant na wasabato??

Ningeomba unijibu kwa mtiririko huu ili tuwe same page, ubarikiwe
 
Nikianza na 1:Ni sahihi kabisa makundi haya ya makanisa wanatumia/walitumia vibaya biblia kuaminisha umma kuhusu utumwa na ukoloni.Hawa ni mapandikizi tu.Si kwamba sasa Ukristo umekuwa haufai.Ni sawa na Mtanzania kufanya jambo la aibu,atawadhalilisha Watanzania wote hata wale ambao hawajui nini kinaendelea.
Kuhusu:suala la watumwa na wajakazi.Pale walichofanya wazungu ni misconception au misunderstandingi either kwa kutokujua au kwa makusudi.Neno kijakazi halina shida sana wala halina tatizo.Yesu na katika biblia kwa ujumla amezungumzia suala la utumwa katika namna mbalimbali za tofauti.Mtumwa ilitumika kama mfano.Ndio maana unakuta anawaambia Wayahudi ninyi mmekuwa watumwa wa dhambi,watumwa wa ibilisi.Anawaasa watoke katika huo utumwa.Pia amewaasa mabwana wawatreat watumwa wao vizuri.

Lakin hawa wazungu,wakoloni wanawaaminisha watu,Kwa mafundisho yao ya UONGO,ili kujipatia haki zao.Mungu amesema wana ole.Hivyo tusishiriki dhambi yao.Je,kama biblia ingekuwa inasaport utumwa hadithi za utumwa na ukombozi kutoka katika utumwa wa ISRAEL ungewekwa.Utumwa upo na ulikuwepo ila wao kwa kuona waafrika wengi hawana elimu ya kutosha,wakaamua kuwahadaa ili kutimiza malengo yao.Na adhabu yao ipo imeshaandaliwa.
NB: kusema mafundisho ya uongo ni jambo ambalo lipo.Hata biblia yenyewe imeandika kuwa watakuwepo wafundishao mafundisho ya uongo.Mfano hutakiwi kuongeza wala kupunguza neno lolote katika biblia.Leo hii makanisa huwezi kufananisha na makutano mengine.Wanafaa mapambo ya kikahapa.Kahaba na mkristo huwezi kutofautisha.wote wana wigi na makatani,wote wana hereni,wote wana bangili,wote wamevaa suruali,wote wamevaa min-skirt,wote wametoboa pua. Yote hii ni kwa sababu ya kupoa kwa imani na mafundisho ya uongo kwa sababu wachungaji wanaogopa kukemea dhambi wakijua watapoteza sadaka zao.Yapo mengi mafundisho ya uongo.Ukitaka kujua haya ni mafundisho ya ukweli au ya uongo angalia je,matendo yao ni sawa na ya YESU,kama ni tofauti ujue basi hao sio wa kristo ni washika dini.JIHADHARI NA MAFUNDISHO YA UONGO.
 
Utumwa upo na hauna mwisho.
Paul amefundsha Hekima Namna ya kuishi.
Mf: Mimi Ni nimeajiriwa..
.tayar hapa Mimi Ni mtumwa napaswa kutii.......je; viip Paul angesema watumwa wasiwanyenyekee matajir wao?? Nafikir leo maada ingehusu mengne.......uzuri wake Paul hakuishia hapo akawashaur na matajir kuwa wafanyien haki....je! Vipi hapa Paul angesema msiwafanyie haki? Nafir pia ukristo usingekuwa na maana yeyote.


Umasikini upo na utazdi kuepo milele na milele.
Ndio maana Bible inasema Tuwasaidie.
Je! Biblia ingesema tusiwasaidie kisa Ni masikini ..Bible ingekua na maana gani?

Ni mhimu kufikiria maana ya utumwa. Na kwann kuweko na utumwa?

Kama ww umechukua mtumwa yeye akakutii (kama yasemavyo maandiko) afu wee ukashindwa kumfanyia haki( Ni nani hapa kavunja Agizo na wajibu!?)

Bible haijaruhusu biashara ya utumwa hyo ieleweke ivo.....hata hao waliotumia Bible kumfundsha mtumwa jinsi ya kutii ....na wao kushindwa kumfanyia haki mtumwa (basi yeye ahusika katk hyo dhambi)
Mkuu nimeelewa hoja yako lakini Tunaona wazi kabisa MUNGU mwenyewe akitoa maagizo kwenye kitabu cha walawi kwamba WANUNUE WATUMWA sasa unaposema biblia haijahalalisha unatumia vifungu gani mkuu?? Ina maana unapingana na maagizo ya Mungu juu ya waisraeli kuhusu kununua WATUMWA kama ambavyo wamarekani walinunua babu zetu kwenda kuwatumikisha huko mashambani??

Anyway je kwa kutokea mstari huu unakiri kwamba bible imehalalisha utumwa (na kama sio basi Mungu alimaanisha nini hapa)

2. kama biblia haikuhalalisha....je unakiri kwamba viongozi wa kanisa kwa madhehebu hayo makuu matatu niliyotaja yamepotosha maandiko?? Na kama walipotosha je ni hatma ya wakristo kama makanisa yanaweza kuwalisha uongo kwa miaka yote hiyo

3. kama pia kanisa lilidanganya je ni mangapi mengine wanadanganywa leo hii kama ambavyo walidanganywa kuhusu suala hili la utumwa

NB:Nauliza kwa staili hii kuchokoza mada na kupata majibu ya maswali nayojiuliza ila haimaanishi nakosoa kanisa au ukristo

Cc mitale na midimu
 
watumwa wamekuwepo kipindi chote kama mfumo wa dunia kwa kipindi kirefu.
wakati wa Wana wa Israel wakitoka misri hadi wakati wa Uislam.
Kila mtu wa kila rangi sio mtu mweusi tu amewahi kuwa mtumwa wa mwenzake.
Mtumwa kwa kipindi cha agano la Kale hasa wakati wa wana wa Israel alikiwa ni kama mfanyakazi wa ndani au houseboy tu.
na ilikiwa ni makosa kumnyanyasa. Na siku akimaliza Muda wake wa kukutumikia anaweza kuamua kwa hiyari yake mwenyeww kuendelea kukutumikia kwa kula kiapo maalumu.

Utuwamwakati wa Roman empire ulikuwa mbaya sana na watumwa walinyanyaswa kama mbwa koko, hauna tofauti na ule wa waafrika. Mfano inasadikiwa kaisali augustus aliwaua watumwa wake karibu elfu tatu. Watumwa walikuwa ni wengi mno karibu nusu ya population yote. Hivyo ukiona Paulo anasema watumwa wawatii mambwana wao ila wasiasi inareflect uhalisia wa watumwa wa wakati huo na uwepo wa watumwa wengi waliokuwa wakristo.
mkristo awe mfungwa,mtumwa,tajiri,masikini,mtawala, mtawaliwa hali zote hazina uhusiano na Uzima wa Milele alioahidiwa iliwa atadumu kuwa muaminifu.
Ndio maana Paulo alimwambia Herode AGRIPA, Natamani na wewe Uwe Kama mimi (mkristo) Ila usiwe mfungwa kama mimi.
Kwa maana nyingine ufungwa wake hapo kaisalia hauna uhusiano na uzima alioandaliwa. Hata mfalme agripa, akimkubali Yesu anaweza Kwenda mbinguni akiwa mfalme kama ambavyo paulo mfungwa angeenda.
Pia Luka alijitolea kuwa mtumwa wa Paulo ili amsaidie kumuhudumia humo melini akielekea Rumi kwa Mujibu wa sheria za wakati huo.

maoni mkuu zitto junior ila wwngine wanawwza kueleza vizuri zaidi.
Nimekusoma mkuu ila labda tuanzie hapa

1. Definition ya MTUMWA agano la kale ni ipi
2. Kama mtumwa ni sawa na mjakazi je ni kwanini MUNGU na Musa walitofautisha watu hawa wawili kila walipowataja yaani MTUMWA na MJAKAZI, je kama ni maana moja kwanini walitofautishwa?

Ubarikiwe
 
Sawa.Haya mambo yanaenda kiimani zaidi.Ili uelewe unatakiwa usiwe biased.Kwanza ili uelewe kuhusu Mungu lazimanuamini kuwa Yupo na anatenda kazi.Kama huwezi kuelewa hilo maana yake huwezi kuelewa.Wewe upo nje ya Mungu hivyo huwezi kuelewa yaliyo ndani ya Mungu.Kama ungekuwa ndani ya Mungu ungeelewa yaliyomo kwa Mungu.Kama unataka kujua yaliyomo kwa Mungu Karibu Kwa Mungu.Nawe utaona mambo makubwa ajabu.
naamini uwepo wa muumba lakini sio yehova/yesu wa biblia
 
Mimi nimkristo na hata mpango wa kuhama dini sina, na nimepokea kipaimara usharika Fulani dayosisi ya kati, ninachojaribu kuongelea hapa ni wazi Paulo alijitolea kulishauri kanisa LA kristo ila hakuwa mtume, mtume gani hana ujumbe mpya zaidi ya kurefusha maelezo waliyoeleza watangulizi wake kwa ufupi?? Paulo ni mshauri sio mtume, je kila ushauri unafaa kufatwa??? Mtume anajihami kama adui kwanini?? Hii ni wazi aliandika kwa Akili ya kibinadamu na ndio maana alikuwa muoga anawafungia watu kuhoji utume wake aisee

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
hahaaa utaitwa " mpinga kristo soon

lifecoded " safi sana " hujawahi kuiacha akili yangu salama
 
Mungu huwa hana mchezo na watu wanaomkosea.anawaadhibu kisawasawa.Adhabu yao kubwa ilikuwa ni kuuawa.NDIO.unakufa ukimdhihaki ama kumkosea Mungu sharti ufe.Ila ukitii maagizo yake utasamehewa.Tii utaona Mungu akitenda makubwa juu yako
Mungu gani anawaza kuuwa tu huyo"... Yaani mtu kataniwa kipara tu..basi yeye kapanic

but ngoja tujikite kwenye mada
 
Back
Top Bottom