neema pita
Member
- Apr 26, 2012
- 30
- 6
habari zenu wana JF naombeni msaada kwa mnaojua kuhusu hili. ninamtaji wa laki saba nataka kufungua biashara ya gems kwa watoto huku arusha nimeona niombe msaada wa mawazo hum kwanza kwa wenye ujuzi au kwa waelewa inalipaje? jamani maisha ni magumu mtaani naombeni ushauri na msaada kwa moyo mmoja ndugu zangu