mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Vipi wazeee, naombeni ushauri juu ya bajaji ni bajaji ya aina gani ni nzuri ikifanya kazi italeta faida? Na ni nini changamoto ya bajaji?
Nunua TVS RE, changamoto zipo tofauti kulingana na eneo utalokuwepo na zinatatulika.Vipi wazeee ,naombeni ushauri juu ya bajaji ni bajaji ya aina gani ni nzuri ikifanya kazi italeta faida? na ni nini changamoto ya bajaji?
Kupata kituo sehemu nyingine lazima utoe pesa, sehemu nyingine ni bure.Hata kupata kituo tu ni changamoto, maana zipo kibao.
Na itayegemea na eneo, kwingine waweza kuta hata nafasi ya kupaki hakuna.Kupata kituo sehemu nyingine lazima utoe pesa, sehemu nyingine ni bure.
Vipi changamoto za kiufundi, kama upatikanaji wa spear, tairi zake na uimara wa bajaji.Na itayegemea na eneo, kwingine waweza kuta hata nafasi ya kupaki hakuna.
Spear zipo na Bajaj ukiitunza vizuri haitokusumbua.Vipi changamoto za kiufundi ,kama upatikanaji waspear,tairi zake na uimara wa bajaji
Mimi sio mmiliki, naongelea uzoefu tu ninavyoona mtaani, ingawa kwa maoni ya wanaomiliki ni kwamba gharama za uendeshaji zinahimilika.Vipi changamoto za kiufundi, kama upatikanaji waspear, tairi zake na uimara wa bajaji.
Mimi ninazo tano za mikataba moja mkataba wake unaisha mwezi huu tar30 ila nataka kuachana na hii biashara maana madereva wanalalamika kazi mbaya hela wanaleta kwa kusua sua sana.wangapi baada ya kusoma uzi huu walinunua bajaj
mkataba wako miezi mingapi?Mimi ninazo tano za mikataba moja mkataba wake unaisha mwezi huu tar30 ila nataka kuachana na hii biashara maana madereva wanalalamika kazi mbaya hela wanaleta kwa kusua sua sana.
Nadhani zimekuwa nyingi sana mjini kila mtu akipata hela yake anaona aiingize humo so kazi ni za kunyang'anyana sana tofauti na miaka miwili nyuma.
Mkataba ni miezi 24(2yrz) hazina kituo maalum ila zinapark Kariakoomkataba wako miezi mingapi?
ulikuwa unapark kijiwe gani amabacho kilikuwa na wateja?