mzee wa manzese
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 670
- 215
Vipi kuhusu nguo za watoto na spare za magari bei zake zikoje
Mkuu Money Stuna na wadau wengine wenye uzoefu na solo la Uganda zaidi ya nguo, vipi kuhusu biashara zingine kama za stationeries, flash, computer accessories panafaa ukilinganisha na Nairobi?
Habari ndugu money stunna,naomba msaada wako katika hili ninamtaji mzuri tu ila sijui wapi pakuanzia katika kufanya biashara hiyo ya kufata vitu uganda hasa viatu,hivyo naomba sana tuwasiliane unisaidie katika hilo,namba yangu "0712269097"...natanguliza shukrani.
du hii biashara sijui kama utaifanya,hata hujui uanze na mtaji kiasi gani!hata hujui utaishi wapi ukiwa uganda!kwani wewe ndo wale wakisafiri hadi afikie kwa nduguye!!
Mkuu Money Stuna na wadau wengine wenye uzoefu na solo la Uganda zaidi ya nguo, vipi kuhusu biashara zingine kama za stationeries, flash, computer accessories panafaa ukilinganisha na Nairobi?
Nione private nikusaidie, maana nishaenda huko
yaani wewe unaweza ukawa msaada mkubwa wa mawazo kwangu maana naona hii naweza kuifanya vzr hapa arusha.
......ngoja nirud kwenye biashara sasa...kusema ukweli uganda nguo za duka, viatu vya duka, mikoba ya special vinauzwa angalau bei kdogo, ila mtumba mh cjaona faida kwa kweli kwa 7bu zifuatazo
1.nilienda kuchukua nguo ndo ilikuwa mara ya kwanza hvyo ckujua bei ya huku bongo
2.nilitaka kufunguliwa baro na kuchaguliwa grade A tu ya nguo, hvyo mnunuz anabak na makapi, wanaita furges wenyewe
3.kwa 7bu hzo hapo juu nilidondokea pua kwan nakumbuka sket ndefu niliuziwa elf 13, fupi elf 10 gauni ndefu 21elf, gaun fupi 15elf, tops elf 6, kwa mantiki hiyo nilivyorud bongo kusema ukweli hazikulipa kbsaa kwan hzo bei nilizochukulia ndo za kuuzia bongo.
Ila nilichanganya mzigo wa nguo za special zikawa zinalipa mfano skin surual nilichukua kwa elf 6 nauza 12, simple shuz 6elf nauza 12, n.k