Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Mkuu commoro na Syshells kuna soko zuri la wanyama hai hasa ng'ombe. Hata hivyo kufanya biashara hiyo huhitaji vibali kadhaa vya serikali, mtaji mkubwa kidogo pamoja na usimamizi mathubuti ya biashasha ili kuepuka uwezekano wa kutapeliwa au wanyama kuathirika kabla ya kufika sokoni au kufika wakiwa wamepungua ubora. Kama unataka kufanya biashara hiyo nicheki PMHabari wana JF
Naomba kujuzwa kwa mwenye uelewa/uzoefu wa biashara ya ku-export Wanyama hai kama Mbuzi, Ng'ombe, Kondoo nje ya nchi kwa ajiri ya nyama. Ni process gani zinatakiwa kupitia/kufuatwa ili kufanya biashara hii. Nchi yetu ina idadi kubwa ya Wanyama tajwa na zipo nchi ambazo wana mahitaji ya nyama zitokanazo na Wanyama tajwa na wanahitaji kupata bidhaa hii iliyo fresh ila wanaishia kupata nyama za kwenye ma-fridge.
Natanguliza shukurani.