Biashara ya kuuza genge

Habari zenu wapendwa? Nipo Dodoma nimepata wazo la kununua contena nitafute sehemu iliyochangamka niweke genge niuze matunda, nyanya, vitunguu,viazi, niweke na mizani niuze na mchele, unga, sukari, dagaa, nikaange na samaki n.k.

Tatizo limekuja kwenye kutafuta eneo zuri lenye population ili niweke ilo contena, naombeni mchango wenu wa mawazo kwa anayefahamu sehemu nzuri kwa Dodoma ili niweze kufanikiwa ntashukuru sana kwa mchango wenu na Mungu awabariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wapendwa? Nipo Dodoma nimepata wazo la kununua contena nitafute sehemu iliyochangamka niweke genge niuze matunda, nyanya, vitunguu,viazi, niweke na mizani niuze na mchele, unga, sukari, dagaa, nikaange na samaki n.k.

Tatizo limekuja kwenye kutafuta eneo zuri lenye population ili niweke ilo contena, naombeni mchango wenu wa mawazo kwa anayefahamu sehemu nzuri kwa Dodoma ili niweze kufanikiwa ntashukuru sana kwa mchango wenu na Mungu awabariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu moja inaitwa ng'ong'ona karbu na UDOM kule COED panafaa sana. Utapiga pesa sana wanachuo kibao. Utakuja kunishukuru baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wapendwa? Nipo Dodoma nimepata wazo la kununua contena nitafute sehemu iliyochangamka niweke genge niuze matunda, nyanya, vitunguu,viazi, niweke na mizani niuze na mchele, unga, sukari, dagaa, nikaange na samaki n.k.

Tatizo limekuja kwenye kutafuta eneo zuri lenye population ili niweke ilo contena, naombeni mchango wenu wa mawazo kwa anayefahamu sehemu nzuri kwa Dodoma ili niweze kufanikiwa ntashukuru sana kwa mchango wenu na Mungu awabariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
CC Demiss na Zero IQ
 
Habari wana jf, nawazo lakuanzisha biashara ya genge, lakini la kitofauti kidogo na haya tuliyozoea, nikiwa na imani nitawateka watu wengi, sababu itakuwa karibu na barara kuu na paking ipo ya kutosha,

Nikitarajia kuuza matunda ya aina zote, vitu vya sokoni, mayai, ikiwezekana na kuku.

Naomba ushauri wenu niwe na mtaji kiasi gani wa kuanzia? ni soko gani naweza kupata vitu kwa bei ya chini?

Na kuna ulazima wa kuwa na leseni ya biashara?

Karibu ukiwa tayari tuwasiliane niwe na supply kwako limao na Nazi toka kilwa

Mawasiliano+255714206306
 
Miongoni mwa biashara zenye hela nzuri ni biashara ya genge. Genge linataka mtaji mdogo lakini faida yake ni nzuri sana na kwa mtu anayetaka afanye hii biashara ni nzuri sana

Pia, ni biashara nzuri ambayo hautapata usumbufu wa TRA na pia hutowaza sana kuhusu wezi tofauti na biashara yengine

Cha kuzingatia ili biashara yako hii ya genge ifanikiwe:-

Kwanza unatakiwa uwe mtu social sana uwe unaongea na wateja vizuri pia uwe ni mtu wa tabasamu mteja akija wakati mwingine mfano kitunguu ni 200 yeye kaja na mia basi usisite kumpa kwa mia hii itamsogeza kwako

Kingine ni ubora wa bidhaa, chagua bidhaa zenye ubora na zenye mvuto mfano ukichagua nyanya bamia au nyanyachungu ziwe ni zenye ubora na mvuto hata mtu akipita akiziona azisiache .

Usiuze vitu ghali sana uza walau bei ya sokoni au inayokaribiana na sokoni ili hata mtu akiwaza unavyouza aone ni sawa tu na sokoni aone kwenda buguruni sokoni kununua nyanya ni sawa tu na kununua kwako maana unauza sawa tu na sokoni

Kingine ni kiwango cha bidhaa uzingatie usipunje wateja uza kama kiwango cha vipimo vya sokoni ili kumfanya mtu awe mtejawako wa kila siku aachane na mpango wa kwenda sokoni

Kwa mbinu hizi utapata wateja na utauza sana

Kila la kheri!
 
Kwanza lazima ufanye feasibility study, then uandae business, strategic na markerting plan.
 
Kwanza kabisa hii biashara inagusa hitaji la msingi la mwanadam ambalo ni chakula, ni lazima ule ili uweze kuishi na kila siku mahitaji yetu tunayapata sokoni, dukani au gengeni kwahiyo ni uhakika kabisa kuwa na wateja tena kila siku asubuhi mchana na usiku

Kingine nina rafiki yangu mimi ana hii biashara ndo inamuweka mjini anatengeneza faida nzuri sana na wateja wanamiminika kwa wingi sana na tips anazotumia ndo hizo hizo nilizoelezea hapo juu!!!!
Hesabu hadi ukafikia hitimisho ina faida sana.
 
Back
Top Bottom