Miunda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 530
- 180
Hata mimi nyumba yangu huku zanzibar ipo tunguu, karibu na chuo cha utumishi wa Umma na utawala, nimejaribu kuwa dadisi wanafunzi wa chuo, chumba wanakodi laki moja, na chumba watu 4, nyumba yangu 4 bedroom, so nyumba itachukua 16 people, nahisi ni over load.
Nahitaji 15 milioni kumalizia ili niweze kumalizia na kupangisha
Nahitaji 15 milioni kumalizia ili niweze kumalizia na kupangisha