Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 455
Wapendwa.....
Nataka kutafuta kijiwe kwaajili ya kuafanya biashara ya maziwa mtindi na fresh
Hapa Dar yanapatikana wapi kwa bei ya jumla?
Kwa aliyewahi kufanya je inalipa?
Changamoto zake ni zipi?
Na kwakuanza natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani?
Nataka kutafuta kijiwe kwaajili ya kuafanya biashara ya maziwa mtindi na fresh
Hapa Dar yanapatikana wapi kwa bei ya jumla?
Kwa aliyewahi kufanya je inalipa?
Changamoto zake ni zipi?
Na kwakuanza natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani?