baby nillaah
Senior Member
- Apr 7, 2017
- 110
- 64
Habari wakuu,
Nauliza ni wapi naweza pata dagaa nyama wa jumla, nipo mkoani nawaza kuwafata Zanzibar lakini mtaji wangu bado ni mdogo.
Nauliza ni wapi naweza pata dagaa nyama wa jumla, nipo mkoani nawaza kuwafata Zanzibar lakini mtaji wangu bado ni mdogo.