Mi nakerwa hata napompigia mtu sim,haswa nikimkosa
achaneni na mtandao wa kidenti ,ndo gharama ya kuwa na mtandao wenye coverage mwisho mlandizi, mtalalamika sana njooni kwenye mitandao ya ukweli vdcm
Tunashkuru kwa kupata malalamiko yenu, na tunafurahia kuona vijana mnatoa madukuduku yenu kwa uwazi namna hii. acha niwasiliane na wahusika ili hili tatizo litatuliwe haraka iwezekanavyo. count on me! nipo hapa kwa ajili ya kutetea haki za wanyonge. msichoke kutupatia malalamiko yenu kuhusiana na lolote ambalo linawakera hapa TZ.
asanteni kwa ushirikiano.