mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Sababu 6 kwanini bia ni bora kuliko mwanamke
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza
(haina mapozi)
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii.
(haina wivu)
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua
(huwa bikira)
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi
(hamu haiishi)
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia.
1. Ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza
(haina mapozi)
2. Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii.
(haina wivu)
3. Unapoagiza bia una uhakika wewe ndio wa kwanza kuifungua
(huwa bikira)
4. Unaweza kushirikiana bia na mwenzako bila wivu wowote.
5. Wakati ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi
(hamu haiishi)
6. Bia siku zote haiendi mwezini wala haina siku zake. Jamani bia iacheni iitwe bia.