Kwa nini? wewe humjui bhoke wa EATV?Mbona huyu sio mtanzania?
Sasa kwenye harusi Westminster Abbey tunaenda saa ngapi???Kwa nini? wewe humjui bhoke wa EATV?
Yaani si jui itakuwaje halafu wote ni either radio or tv hadi ma Dj na ma CEO wa media company, sasa hawa BBA wameamua miaka miwili mfululizo kuweka mastar na kina kifutio watatokaje? na kama waliamua hivi kwa nini hawakusema wakati wana advertise watu wajitokeze kwenye audition?Kumbe Bhoke wa EATV zali ndio limemuangukia hope she turns out be a success wishing her all the best coming this Sunday May 1st when the official Big Brother Africa Series will begin.
Duh!!! Halfu this time wasichana wa kumwaga
Sasa kwenye harusi Westminster Abbey tunaenda saa ngapi???
Auditions zilikuwepo kwa nchi zote ambazo zimechaguliwa kushiriki na walitangaza pia sema ndio hivyo watu wenye access ya DSTV sio wengi sanaYaani si jui itakuwaje halafu wote ni either radio or tv hadi ma Dj na ma CEO wa media company, sasa hawa BBA wameamua miaka miwili mfululizo kuweka mastar na kina kifutio watatokaje? na kama waliamua hivi kwa nini hawakusema wakati wana advertise watu wajitokeze kwenye audition?
Yah!! Naenda na Mbu ulisikia offer ya watu 300 aliyotoa Prince CharlesAaaagr mie sipendi harusi zinavyokuwa na format ileile huwa naboreka we unaenda?
Mh haya nenda utuletee newz maana imetangazwa mpaka inaboaYah!! Naenda na Mbu ulisikia offer ya watu 300 aliyotoa Prince Charles
hahahhahahaha, wakati mwingine wa madness huoooo,
lets hope atatuwakilisha vyema, asituabishe tuuuu, halafu soon wataanza banjuana ili kuvutia wapenz zaidi
Wee si unawajua ndugu zako walivyo na swagga kitu kidogo kitakuzwa hadi kionekana its something uniqueMh haya nenda utuletee newz maana imetangazwa mpaka inaboa
umeweka tent na wewe hapo maana mie niko kituoni tangu asubuhi northern line full inapitiliza tu.Wee si unawajua ndugu zako walivyo na swagga kitu kidogo kitakuzwa hadi kionekana its something unique