MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
speaking of bantu .......cheki huyuHuyu hana mvuto wa kiafrika akipelekwa big brother uingereza labda, boke miss bantu bana.
Nimekiona mwenzangu yaani we acha tu nitafatiliaa mpaka naona hata humu kuingia itakuwa shidaMwaka huu hakuna mchezo maHB kwa kwenda mbele sasa sijui watakuwa na akili ya kupambanua mambo na strategies
kitu cha mozambique
Mwaka huu hakuna mchezo maHB kwa kwenda mbele sasa sijui watakuwa na akili ya kupambanua mambo na strategies
kitu cha mozambique
Wa wapi huyu jamani ni HB!! hatar
BB Huyu atakuwa wa Angola huyu mbona mtamu hivyooooo hahahaha
Yaani we acha tu itakuwa hatari humo ndani kila demu atataka urafiki nae
Ni msouth africa huyu, at least this time wameweka kitu cha kueleweka
Du huyu jamaa atamfaidi sana Bhoke. Naona wivu sana!!!!!!
lane:lane:Mwaka huu hakuna mchezo maHB kwa kwenda mbele sasa sijui watakuwa na akili ya kupambanua mambo na strategies
kitu cha mozambique
Nimekiona mwenzangu yaani we acha tu nitafatiliaa mpaka naona hata humu kuingia itakuwa shida
:frusty::frusty::frusty::frusty:eeeeee mimi penda hii
lane:lane:
:frusty::frusty::frusty::frusty:
:frusty::frusty::frusty::frusty:
Ngoja nimletee HB mwingine tenaTF nini tena my dear
utapasua kipaji cha uso
halafu mama atakuchapa wewe...
Utaumia wewe
Gaga na AD mtalala stoo mjue eheeeTF nini tena my dear
utapasua kipaji cha uso
halafu mama atakuchapa wewe...
Ngoja nimletee HB mwingine tena
Sijui ana dimples au mimi macho yangu ndio mabovuLome wa Blantyre mwaka huu ni kujiramba midomo tu mle ndani sharobaro za kufa mtu
TF cheki hiyo
Gaga na AD mtalala stoo mjue eheee
Yaani hawa wamekosea kabisa bora wangenichukua hata mimihahahahah lol
duuhh tutaanza kusikia sauti
yake kwenye JF mmmhhh
usimchokoze sana bwana..mmhh
we ngoja alie ni kazi kumbembeleza we acha tu hahahaha lol
Lome wa Blantyre mwaka huu ni kujiramba midomo tu mle ndani sharobaro za kufa mtu
TF cheki hiyo