mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,015
L382 hio chombo nimeitumia Sana Ni nzuri na inabebeka kirahisiEpson ni Printer nzuri sana na zina Quality kubwa safi.
Tatizo ni bei zake na Budget yako huwezi pata Printer za Epson,
Naona Wadau wanashauri upate Epson L3110 lakn sasa hivi hiyo imesimama kwa 480,000 hadi 460,000.
Ipo L382 ambayo ni 430,000 hadi 420,000.
Kwa Budget yako labda uchukue Printer za Kampuni ya CANON ambazo Unaweza kupata hadi za 250,000 hadi hiyo 300,000