Kila siku nawaambiaga watu hii makitu lakini wanabisha. Kuna kautafiti kengine nlikafanyaga nikagundua kuwa kama mwanaume hacheat basi mkewe anacheat. Nawasihi wanaume endeleeni kucheat responsiby ili wake zenu wasiwacheat. Atakayepinga au kuquote hii post lazima atakuwa cheater mzuri. Amina.
Kila siku nawaambiaga watu hii makitu lakini wanabisha. Kuna kautafiti kengine nlikafanyaga nikagundua kuwa kama mwanaume hacheat basi mkewe anacheat. Nawasihi wanaume endeleeni kucheat responsiby ili wake zenu wasiwacheat. Atakayepinga au kuquote hii post lazima atakuwa cheater mzuri. Amina.
Mbona sasa picha uliyoweka haiendani na mada? au ulimaanisha wanawake badala ya wanaume? maana hapo kama vile mwanamke ndoo kawachanganya hao jamaa!!
Acha longolongo wewe. Njoo fyatanga hapa tugonganishe glasi.Wee si uliapa jana huchit na kabakabana wewe?
Imekuwaje tena leo?
Vruuuum(vitu vinarushwa nje)Vrrrruuuummm
Usikose kuangalia kipindi cha CHEATERS kila jumatano saa nne na nusu usiku chanel E halafu utasema nani muongo ME au FE?
....basi most men cheat...Mkuu Sio kweli kwamba all Men Cheat.., lakini ukweli ni kwamba ukijiweka kwenye vishawishi au ukiendekeza kwenda maeneo fulani na kujiweka kwenye mazingira hatarishi basi utacheat.